FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,150
- 40,839
Huna haki yeyote kwa baba yako, elewa hilo.
Hata kama hakutafuta nao, utamzuia asiwape wakati yeye ndiye kaamua kuwapa?kwani hao alio walisisha alitafuta nao au umeandika2 ilimlad nawewe uonekane umechangia
Sasa ndio naelewa kwanini mtoto wako ana tabia mbaya kwa wageni
Urithi ,nini wewe kwani baba yako amekufa? Si bado yupo?angefanya kama Chen nisinge mshtak baba alichofanya sio kawandikisha watoto wa mama mwingine Mimi inamaana Mimi sina hak ya kulisi
Umevurugwa mwanakwetunani kwakwambia nangangania? rud soma vzr post yang
Pole, naelewa fika, Ushaur unaouhitaj sana niule wakutilia mkazo hisia zako.Kwanza niombe Mimi sio mwandishi mzuri endapo nikikosea uwandishi mtanisamehe.
Baba ulikuwa na mahusiano na mama hakumuowa badae nikazaliwa Mimi nikalelewa na mama nilipokuwa mkubwa nilitaka kwenda kwa baba lakini mke halali wa baba akanikataa kabisa mpaka akatishia kuniuwa endapo nikienda kwake.
Basi nikaendelea kukaa namama mzazi nikiwa na nashida na baba nilikuwa nampigia simu baba au namfwata kazini kwake must Mbeya.
Mwaka jana mwezi wa pili baba akawa amestafu kazi lakini kila nikimuomba chochote hata mtaji wa boda boda ili namimi nijiajili naniambia hana ananipa kalenda tu.
Nakinacho nafanya niumie zaidi mpaka saiz baba kawandikisha ulisi wote watoto anao ishinao Mimi sipo kwenye ulisi wake wowote aliouandika .
Nikimwambia basi Mimi nipe mtaji2 niachane na uwo ulisi napo hatak.Ni2mie sheria ipi wakuu nimstak namimi niweze pata chochote kama hao watoto wake wengine.
shukran mkuu Nina miaka 24Pole, naelewa fika, Ushaur unaouhitaj sana niule wakutilia mkazo hisia zako.
Inawezekana kabisa kabisa, hapa wengi watakuambia Mpotezeee.
Una umri gan???. Kwa nchi za wenzetu Suala km lako, bila kujalisha Umri wako, linatosha kabisa Huyo mzee kuchukuliwa hatua.
Inawezekana kabisa 100% hivi ulivo leo, nimatokeo ya mzee wako kukukataa.
Ivo basi, ni vema utafute msaada wa kisheria.
Ukishindwa kabisa kabisa, ndio umuachie Mungu.
Wewe ni mpumbavu.
[/QUO😲😲😲😲
24 yrs, kwa hapa bongo? Asikudanganye mtu ..km ungekua unasoma maana yake ungekua Chuo au ndo unamaliza .shukran mkuu Nina miaka 24
nani anae lili ulisi rud soma vzr post yang uelewe nilicho Maind mpaka nikaamua mamuz haya Mimi silili ulisUnalilia urithi unajuaje kama baba yako ndiye ataanza kufa na kukuache wewe.
Labda hajakupa kwa sababu nae anajua utakufa na kumwacha yeye
Dogo tafuta kazi ya kufanya ujiingizie kipato sio kuwaza urithi mimi babu yangu alikufa na miaka 113 sasa baba yangu angekua na akili kama zako si leo tungekua na hali mbaya sana hebu assuming huyo mzee wako akija kufa na miaka let say 95 wewe utakua na umri gani, utakaa mpaka umri huo ukimsubiria afe ili upate huo urithi
Huna tofauti na yule mwenzako mwenye akili za ki CCM baba yake alimtimua nyumbani na wewe naona ni walewale pumbavu kabisa.
shuklan brother ang24 yrs, kwa hapa bongo? Asikudanganye mtu ..km ungekua unasoma maana yake ungekua Chuo au ndo unamaliza .
Mtu akikuambia Muache tu mpotezee.. Maana yake ni uwe na uhakika wa unachokifanya sasa, na kwauo umri ni changamoto .
Labda km utaamua kujitosa..lkn swali ni ujitose wapi????.
Wee komaa na huyo mzee, Tena Mama Yako mpole sana ,komaa na uyo mzee, kwa sasa usimfate kwa maneno ya busara busara, kwasasa fata msaada wa sheria basi.
Komaaa upate kitu chakuanzia maisha, kama alikunyima Elimu, asikunyime Mtaji.
KOMAA MDOGO WANGU ... Huyo mama wakambo ,asikuzengue wala nn. Wee komaa, Hawezi kukufanya kitu.
Uza hiyo simu yako unayotumia Anza kufuga Kuku Ni fanya biashara ndogondogo ili badaye na wewe watoto wako wasije kukushitaki Kama ambavyo unataka kufanya.Kwanza niombe Mimi sio mwandishi mzuri endapo nikikosea uwandishi mtanisamehe.
Baba ulikuwa na mahusiano na mama hakumuowa badae nikazaliwa Mimi nikalelewa na mama nilipokuwa mkubwa nilitaka kwenda kwa baba lakini mke halali wa baba akanikataa kabisa mpaka akatishia kuniuwa endapo nikienda kwake.
Basi nikaendelea kukaa namama mzazi nikiwa na nashida na baba nilikuwa nampigia simu baba au namfwata kazini kwake must Mbeya.
Mwaka jana mwezi wa pili baba akawa amestafu kazi lakini kila nikimuomba chochote hata mtaji wa boda boda ili namimi nijiajili naniambia hana ananipa kalenda tu.
Nakinacho nafanya niumie zaidi mpaka saiz baba kawandikisha ulisi wote watoto anao ishinao Mimi sipo kwenye ulisi wake wowote aliouandika .
Nikimwambia basi Mimi nipe mtaji2 niachane na uwo ulisi napo hatak.Ni2mie sheria ipi wakuu nimstak namimi niweze pata chochote kama hao watoto wake wengine.