Kama Vijana wasomi pamoja na madgr yao tena miaka mpaka zaidi ya 28, na wanawazazi , kucha kutwa, wanaipigia kelele serikali ..ohoooo haiajiri ohooo nn...Akili za ki utopolo topolo
Kwa kutaka kumshtaki una maana gani kama si kumlazimisha?kwan me nalazimisha kunipa soma vzr post yang usikulupuke
ndio mkuu nimekubal kuwa Mimi sina shea lakin nihak kwel Mimi ninyiwe hata mtaji wa boda bod kwel akat naona watoto wengine wanapewa nyumba wengine magarUrisi au ulisi
Mkuu wwe huna Shea hapo kwani menye mali ana haki ya kumpa na kumnyima yeyote urisi wake
Mnasemaga utadhan ni rahisi.Uza hiyo simu yako unayotumia Anza kufuga Kuku Ni fanya biashara ndogondogo ili badaye na wewe watoto wako wasije kukushitaki Kama ambavyo unataka kufanya.
kinacho nifanya nishitak sio kunyima nihak mkuu watoto wengine kawapa magar wengine nyumba lakin Mimi kaninyima hata mtaji wa boda boda akat anajua mwanae sina kaz yoyote ya kufanyaKwa kutaka kumshtaki una maana gani kama si kumlazimisha?
Punguza bei!bado cjapata mteja
Mimi na maisha yangu yalojitosheleza ., kwasasasa ni kuyapakaa rangi tu.Msindikize mkuu akishinda kesi atakugawia madorali atakayopewa na mzee wake
Yawezekana, lakini lazima sababu zitolewe na mtoa urithi, kwamba mtoto X hatapewa urithi kwa sababu hizi...Urisi au ulisi
Mkuu wwe huna Shea hapo kwani menye mali ana haki ya kumpa na kumnyima yeyote urisi wake
sio kuwa nilikaa2 miaka yote kuna Sehem nilishikiza2 ila now hiyo sehem hapo ndio maana nikamuomba mzee chochote namimi ili nijishikize tenaKwaio wewe miaka yote io mpaka umefikia umri wa kuandika huu uzi apa ulikua una subiria utusue kupitia urithi sio?
Kitanda hajui kinazaa haramu, kapotoshwa na mamake na huko vijiweni..' a bustard child'
hata sim ninayo itumia sio yakwang kuna jamaa kaniazima2 niwe nai2mia hata kuingia2 humu na2mia free basicsUza hiyo simu yako unayotumia Anza kufuga Kuku Ni fanya biashara ndogondogo ili badaye na wewe watoto wako wasije kukushitaki Kama ambavyo unataka kufanya.
acha kulopoka nani kakwambia Mimi sio mwanae? Nisingekewa mwanae cangenikana kabla hata cjazaliwaKitanda hajui kinazaa haramu, kapotoshwa na mamake na huko vijiweni..
Babake kishajua huyu atasumbua watoto wake halali, so inavyoonekana, kama ni majumba, mashamba, viwanja, assets kawaandikisha watoto na mkewe, huyu hana chake..
So hata mzee akifa atakuwa kafa maskini hamna kugombania mirathi zaidi ya nguo zake!
Huyo baba akili kubwa!
Everyday is Saturday.............................
Kawapa kwa sababu ni zake, sasa unataka kumzuia asiwape? Na anakunyima kwa sababu ni mali zake pia, utamalzimisha akupe? Halafu hizo mali kachuma na mama yao? Umeelewa?kinacho nifanya nishitak sio kunyima nihak mkuu watoto wengine kawapa magar wengine nyumba lakin Mimi kaninyima hata mtaji wa boda boda akat anajua mwanae sina kaz yoyote ya kufanya