Habari Wakuu
Binafsi nasumbuliwa sana na mende Nyumbani kwangu, kiasi kwamba wamefikia hatua ya kula chochote kilichopo mbele yao mfano chakula, matunda, na hata nyanya, karoti
Lakini cha kushangaza zaidi wamefikia mpaka hatua ya kuning'ata nikiwa nimelala ambapo nikiamka asubuhi nakuta michubuko kwenye vidole vyangu.
Hivyo nimeamua kuja kwenu ili nipate suluhisho
Asanteni
Binafsi nasumbuliwa sana na mende Nyumbani kwangu, kiasi kwamba wamefikia hatua ya kula chochote kilichopo mbele yao mfano chakula, matunda, na hata nyanya, karoti
Lakini cha kushangaza zaidi wamefikia mpaka hatua ya kuning'ata nikiwa nimelala ambapo nikiamka asubuhi nakuta michubuko kwenye vidole vyangu.
Hivyo nimeamua kuja kwenu ili nipate suluhisho
Asanteni