dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 24,688
- 56,425
Ulitakiwa pia usambaratishe makao makuu yao mabomba ya maji machafu na makaro. Kule wanakupenda kama pepo na utakuta mamilioni ya mayai na vifaranga.Niliwah kuitumia lakin bado niliendelea kuwaona mende