- Thread starter
- #21
Niokoe na hiyo akili kubwa💯. Ni akili ndogo tu inahitajika apo nashangaa nini kinamshinda
Niokoe na hiyo akili kubwa💯. Ni akili ndogo tu inahitajika apo nashangaa nini kinamshinda
Ataingia hasara mara mbili maana huo mfuniko mpya utaibwakubali gharama vunja huo uchafu kanunue mifuniko kwenye duka la vifaa vya ujenzi
inasikitisha sana hakikaMmekulia maisha gani, yani hili nalo la kuuliza?
Hujaelewa nini hapo Mkuu?, wewe hakikisha una njaa tu wakati unaifanya iyo kazi. Kamwe usiifanye ukiwa umeshiba.Naomba ufafanuzi zaidi bado sijakupata vizuri
Hii ilipigwa seal ya cement kali, hapo ni upasue kufuata huo mstari wa mfuniko tu ili kuachanisha hiyo seal ya cement kali.Weka mtarimbo katikati kisha muwe wawili mvute juu
"Hii ilipigwa seal ya cement kali, hapo ni upasue kufuata huo mstari wa mfuniko tu ili kuachanisha hiyo seal ya cement kali"Hii ilipigwa seal ya cement kali, hapo ni upasue kufuata huo mstari wa mfuniko tu ili kuachanisha hiyo seal ya cement kali.
Ila tu ahakikishe ana njaa maana kama akiwa kashiba, shauri yake 😂😂
Ndio shida ya kutumia mafundi vishoka hiiHii ilipigwa seal ya cement kali, hapo ni upasue kufuata huo mstari wa mfuniko tu ili kuachanisha hiyo seal ya cement kali.
Ila tu ahakikishe ana njaa maana kama akiwa kashiba, shauri yake 😂😂
Like seriously?Wanajf ninaomba mnisaidie kwa anayejua,namna ya kufungua mfuniko huu wa chemba inayotoka chooni!Choo kimejaa maji nataka nizibue.
View attachment 3440190View attachment 3440192
You are very bright if not geniusLike seriously?
Mkuu unatumia tamathali za semi au ndo hicho tunachokiona hapo?
Hapana mkuu.. JF imeshakuwa sehemu ya kuaminiwa na jamiiLike seriously?
Mkuu unatumia tamathali za semi au ndo hicho tunachokiona hapo?
Na akishindwa kwa mkono kawaida atafute jekiPitisha bomba katikati ya hiyo handle kisha nyanyua upande mmoja huku upande wa pili ukiwa umekita chini