Msaada wa haraka unahitajika: nahitaji mahali pa kufikia Dar

Msaada wa haraka unahitajika: nahitaji mahali pa kufikia Dar

Pia stendi ya magufuli mbezi waweza kulala na hutasumbuliwa na TV ipo

Mwaka 99 navyoingia dar sikutaka undugu na mtu ukaka Wala umjomba , stendi ubungo yalikuwa maisha yangu mwezi mzima
 
Naamini kuna mtu atakufuata inbox atakusaidia zaidi. Pole sana mkali.
 
Asante sana mzee...hata huu ni msada pia .
 
Habari wakuu! Mm ni kijana mwenzenu Mtanzania halisi.Nimekuwa na changamoto ya kiafya muda mrefu kidogo .Kwa sasa niko kanda ya ziwa natakiwa kuja dar this month kwa ajili ya matibabu.Kwa bahati mbaya sina sehemu ya kufikia huko,nahitaji nipate ata kama kuna jumba ( pagale) ambalo linahitaji mtu wa kuangalia nijistili kwa muda tu.Siwezi kukaa kwa mtu as kutokana na hali yangu kiafya nitakuwa kero. Asanteni
Tibiwa huko huko ....kwani hapo bugando vipi
 
Habari wakuu! Mm ni kijana mwenzenu Mtanzania halisi.Nimekuwa na changamoto ya kiafya muda mrefu kidogo .Kwa sasa niko kanda ya ziwa natakiwa kuja dar this month kwa ajili ya matibabu.Kwa bahati mbaya sina sehemu ya kufikia huko,nahitaji nipate ata kama kuna jumba ( pagale) ambalo linahitaji mtu wa kuangalia nijistili kwa muda tu.Siwezi kukaa kwa mtu as kutokana na hali yangu kiafya nitakuwa kero. Asanteni
Mloganzila pana sehemu ya julala
 
Back
Top Bottom