Mbute na chai
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 525
- 525
Maoni yangu ni kwamba hapo hamna nyufa bali nyumba imeshabomoka. Upana wa nyufa hiyo itakulazimu mambo mawili; kujenga ukuta mzima au kujenga nyumba nyingine. Ni bora kujenga nyumba kwa miaka 5 lakini ya viwango kuliko kwa wiki kadhaa au miezi bila ubora.
Pole sana. Chukua hiyo kama changamoto ya maisha, ikubali, imeshatokea, tafuta nyumba ya kupanga kisha jipange kwa ujenzi bora. Pia kama uchumi hauruhusu uza hicho kiwanja na tafuta eneo nafuu na anza ujenzi bora.
Pole sana. Chukua hiyo kama changamoto ya maisha, ikubali, imeshatokea, tafuta nyumba ya kupanga kisha jipange kwa ujenzi bora. Pia kama uchumi hauruhusu uza hicho kiwanja na tafuta eneo nafuu na anza ujenzi bora.