Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,251
- 5,316
Kiutendaji CO hawezi kufanya kazi kwenye Hospitali kubwa while RN anafanya.
Kwa hiyo hilo ndio shavu unalolisemea?
Kiutendaji CO hawezi kufanya kazi kwenye Hospitali kubwa while RN anafanya.
Kwa hiyo hilo ndio shavu unalolisemea?
Maslahi ndiyo tunalenga na convenience ya kaziKiutendaji CO hawezi kufanya kazi kwenye Hospitali kubwa while RN anafanya.
Shombe ebu nisaidie, kwa nini UDOM ada ni kubwa kwa nursing? Hata kuzidi medicine?KAM DRS, Paradigsm DRS, ST david..
But kwann usiende government mkuu...?
Nursing utakuwa mtumwa siku zote,, kafanye co ukimaliza ntafute nikupe mchongo kuhusu bachelor nzuri ambayo unakula pesa chin ya kiyoyoz,, sio kule danger roomKama usipojali soma nursing,ina shavu kuliko CO
Sababu anaweza Fanya kaz kama medical attendant ndilo shavu au??Kiutendaji CO hawezi kufanya kazi kwenye Hospitali kubwa while RN anafanya.
Omba dental therapy kisha kama unataka MD utakuja kuifanya bachelor Dental hutajutia broDuh...! kwa hyo mara nying huwa wanachaguliwa wenye One..et
Nursing utakuwa mtumwa siku zote,, kafanye co ukimaliza ntafute nikupe mchongo kuhusu bachelor nzuri ambayo unakula pesa chin ya kiyoyoz,, sio kule danger room
Naomba mwenye kujua chuo kizuri cha clinical officers training school cha binafsi aniwekee hapa.
Nitashukuru sana
Mkuu naomba more info kuhusu hichi chuo nimecheck web yake ila ipo shallow sana if you dont mind 0742789070Kama upo vizuri kiuchumi, nenda MACHAME SCHOOL OF CLINICAL OFFICERS.
Si kweli ndugu mwaka Jana Dogo kuchaguliwa ana point 21 kibaha pale clinical medicineMwaka jana walichukua cut off ya point 17 ambayo ni div 1- kwa Lugalo na Kibaha , kilosa. Mimi nina div 2 pt 20.( ni mwaka jana) unanishaurje . Nawaza nursing labda itakubali ingawa nilitaka clinical ofisa
wakuu huyu jamaa alinitisha alivyosema cut point 17 kwan wanachoangalia division au vigezo vyao zaidiSi kweli ndugu mwaka Jana Dogo kuchaguliwa ana point 21 kibaha pale clinical medicine
Vigezo vyao Ila watu wapapo kuwa wengi wanaangalia vya ziadawakuu huyu jamaa alinitisha alivyosema cut point 17 kwan wanachoangalia division au vigezo vyao zaidi
Degree gani mkuu.Nursing utakuwa mtumwa siku zote,, kafanye co ukimaliza ntafute nikupe mchongo kuhusu bachelor nzuri ambayo unakula pesa chin ya kiyoyoz,, sio kule danger room
Sidhani, usipochaguliwa walikuwa wanakupa sababu kwa nini hukuchaguliwa. Nitapiga picha nikuwekee hapa uone. Mimi nilikuwa na pointi 20 div 2 sikuchaguliwa. Labda ulifanya maarifa??? Weka pass zake nione maana umenistua.Si kweli ndugu mwaka Jana Dogo kuchaguliwa ana point 21 kibaha pale clinical medicine
Sorry inawezekana kwa maana alikuwa na kigezo cha zaidi form6 Ila form four alipata Chemistry B+ biology B+ physics BSidhani, usipochaguliwa walikuwa wanakupa sababu kwa nini hukuchaguliwa. Nitapiga picha nikuwekee hapa uone. Mimi nilikuwa na pointi 20 div 2 sikuchaguliwa. Labda ulifanya maarifa??? Weka pass zake nione maana umenistua.