Hii ni kwa Tanzania nzima1.DUCE
2.SUA
3.MWENGE UNIVERSITY
4.UNIVERISTY OF ARUSHA
5.UDOM
Ondoa SUA ni Upuuzi mtupu kule, ondoa Arusha ongeza MUCE na SAUT1.DUCE
2.SUA
3.MWENGE UNIVERSITY
4.UNIVERISTY OF ARUSHA
5.UDOM
DuceWakuu habari zenu.
Naomba msaada kujua chuo gani kizuri kwa kusomea ualimu kwa ngazi ya degree kwa mkoa wa Dar es salaam.
Natanguliza shukran .
shida ni kwamba ukisomea ualimu hauwezi kujiajiri, kwanini labda usiangalie kitu kingine cha kusomea mdogo wetu, au lengo ni kuwa na degree, em soma vizuri guidebook.Wakuu habari zenu.
Naomba msaada kujua chuo gani kizuri kwa kusomea ualimu kwa ngazi ya degree kwa mkoa wa Dar es salaam.
Natanguliza shukran .