- Thread starter
- #41
hapo sawa. nadhani huyo alikuwa div 1 not 2 at 21 pts.Sorry inawezekana kwa maana alikuwa na kigezo cha zaidi form6 Ila form four alipata Chemistry B+ biology B+ physics B
hapo sawa. nadhani huyo alikuwa div 1 not 2 at 21 pts.Sorry inawezekana kwa maana alikuwa na kigezo cha zaidi form6 Ila form four alipata Chemistry B+ biology B+ physics B
Olevel ana two points 21hapo sawa. nadhani huyo alikuwa div 1 not 2 at 21 pts.
wakuu huyu jamaa alinitisha alivyosema cut point 17 kwan wanachoangalia division au vigezo vyao zaidi
mkuu acha kuingiza watu shimoni,nipo kiu clinical medicine najuta nikipiga paper la nacte nikitoboa nasepa chuo ovyo kabisa hikiNenda kampala international university utafurahi sana,, usidanganywe na wanaupepo,, ukiwa chin ya university kuna rahaaa yake mfano hai nilikuta walimu wanaofundisha vyuo vikubwa vya afya hapa nchin wakifundisha hapo chuon ,, ukienda college utafundishwa na ASSTANCE MEDICAL OFFICER AU 1st medical degree matatzo yake utayajua siku ukikutana na specialist wa vitengo,, nakuomba sana nenda kampala utaenjoy siku unaenda bachelor third year,, kila kitu utakuwa unajikumbushia tuuuu,,,,, serikalin vyuo vya afya shida tupuuu
Asante kutufunuliamkuu ach
mkuu acha kuingiza watu shimoni,nipo kiu clinical medicine najuta nikipiga paper la nacte nikitoboa nasepa chuo ovyo kabisa hiki
Atajuta Ada au...omba chuo cha serikali ukikosa nenda private ila usiendee kiu,city collage wala kam na paragism utajuta
Mkuu,Nursing utakuwa mtumwa siku zote,, kafanye co ukimaliza ntafute nikupe mchongo kuhusu bachelor nzuri ambayo unakula pesa chin ya kiyoyoz,, sio kule danger room
Mkuu, baada ya kumaliza clinical medicine mtu unaweza kusoma degree moja kwa moja bila kupata experience, yani unamaliza mwaka huu alafu mwaka unaofuata ukasoma degree??Nursing utakuwa mtumwa siku zote,, kafanye co ukimaliza ntafute nikupe mchongo kuhusu bachelor nzuri ambayo unakula pesa chin ya kiyoyoz,, sio kule danger room
Nimekisoma shida yako kubwa uliapply vyuo vyenye compttion kubwa lakini usiseme eti div one pekee ndo wanasoma COUsikatae niliomba wakanipatia feedback kwanini sikuchaguliwa, wakasema sikuweza ku compete maana waliniambia kuwa mwisho ni pt 17 wakati nina 20
Sent from my HUAWEI G730-U10 using JamiiForums mobile app
ushindani ukoje? COKama upo vizuri kiuchumi, nenda MACHAME SCHOOL OF CLINICAL OFFICERS.
Ada ya machame
Aisee licha ya Hugo Mimi pia Nina shida the same. Nikikaa sawa nitakutafuta mhusika ana two ya 20 kwa pass ya D C C physics ,Chem na biol .Check me 0672003015
And i guarantee you utapata hiyo CO kwa cut point hizo
Je akiwa na ,C Chem., C biol , D Chem na C maths machame hawachukui .Machame ndio mda wa kuchukua form za kujiunga kwa sasa.Sifa ya kujiunga na chuo uwe na C Biology C Chemistry,C Physics na D Maths form 4
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kwenda chuoni kuulizia ila compition ni kubwa sanaJe akiwa na ,C Chem., C biol , D Chem na C maths machame hawachukui .
Sent using Jamii Forums mobile app