Habari wana Jf.
Kwa mwenye kujua, ninaomba anifafanulie namna benki zinazoendeshwa kwa kufuata misingi ya kiislamu (Islamic Banking) zinavyoendeshwa.
Zaidi ni jinsi gani mikopo hutolewa na namna gani mikopo hiyo hurudishwa.
Ningekuwa karibu, ningeweza kutembelea matawi yao kupata ufafanuzi, lakini nipo huku Kyerwa mkoani Kagera. Na nilipopitia ktk website za mabenki hayo, ufafanuzi walioutoa sikuupata vema.
Nitashukuru kama pia nitapata msaada wa mchango kutoka kwa watu waliowahi kukopa katika mabenki yanayoendeshwa kwa taratibu za Kiislamu hapa nchini.
Nawasilisha.
Nakutakieni Baraka za mwezi mtukufu wa Ramadhan ziwe juu yenu.
Kwa ufupi.
Bank hii ilianzishwa misri mwaka 1963, na Mitghar local saving bank.
Inafata misingi ya shariah (Quran, prophet Mohammed S.W na scholarly interpretation). na mambo yasiotakiwa katika bank hii ni riba, kamari na gharar.
Ukiangalia hii bank ni commercial bank kivitendo kuanzia kazi zake, leseni, na utaratibu wa pesa.
Ina changamoto kubwa ya neno riba, ambao usema faida (Profit), ukisikia maelezo yake ni riba tuu.
Wanahuduma kama..Murabaha, ijara, musharakah, mudarabah, Qard hasab, amanah, wadiah na salam...hizi ndio huduma utolewazo na bank hii....
Utafungua akaunti kama bank nyingine as saving n fixed (amanah) no interests, current (wadiah), mikopo wanayotoa ni kama, wanakunulia kitu labda gari (murabaha), wanakuongezea mtaji (mudarabah), wanajiunga pamoja katika business (musharakah), wanakuazima kitu (ijara) n.k pote hapa upewa let say Tsh 400,000/= unaambiwa utapata faida (margin profit) ya Tsh 100,000 upeleke 50,000 kwa miezi sita mfano, so unarudisha 450,000/= lazima faida ije.
Product moja tuu ndio wana share profit and loss Musharakah.
Hiyo ndio kwa ufupi tuu.
Zaidi nicheck nikueleweshe.
0715-011-406