Msaada: Ufafanuzi juu ya Islamic Banking

Msaada: Ufafanuzi juu ya Islamic Banking

Hamna kitu kama hicho den ikawa sadaka .bank itapataje faida, mbona wanafanya valuation kwy fixed asset kwa ajili ya kutoa mikopo kila bank inaendeshwa na regulation za bot.acha uongo bana

Kafirunn nyiokunda acha kuhangaika na mambo usiyo yajua:

'Na akiwa (mdaiwa) ana shida, basi (mdai) angoje mpaka afarijike. Na mkilifanya deni kuwa ni sadaka, basi ni bora kwenu, ikiwa mnajua.
Qur'an: 2:280.
 
Last edited by a moderator:
Kafirunn nyiokunda acha kuhangaika na mambo usiyo yajua:

'Na akiwa (mdaiwa) ana shida, basi (mdai) angoje mpaka afarijike. Na mkilifanya deni kuwa ni sadaka, basi ni bora kwenu, ikiwa mnajua.

Qur'an: 2:280.

Nitaenda Amana bank kupata maelezo zaid.Shehe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom