Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 844
Hii bank naikubali sana aisee
Zinaendeshwa kama benki nyingine lakini hakuna riba:
Islamic banking (Arabic: المصرفية الإسلامية‎, Persian: بانکداری اسلامی‎😉 is banking or banking activity that is consistent with the principles of sharia and its practical application through the development of Islamic economics. As such, a more correct term for 'Islamic banking' is 'Sharia compliant finance'.
Mikopo ni ubia , benki inakuwa mbia wako wa muda kwenye hilo deni, kama ni hasara wote kama ni faida wote, nnakushauri nenda amana benki kwa ufafanuzi zaidi na pitia hapa ujisomee zaidi: https://en.wikipedia.org/wiki/Islamic_banking
Pia uelewe Islamic Banking inakuwa popular sana duniani kwa Waislam na wasio Waislam, jisomee: Islamic "Shariah-Compliant" Banking Takes Root in Europe
[url]https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/60900-islamic-banking-%91invades%92-tanzania.html
[/URL]
Kwa kifupi sana...ni kwamba mnafanya makubaliano na benki..mfano we unataka gari....unauwezo wa kununua hilo gari ila kipato chako hakikuruhusu kutoa mil 10 kwa mara moja ili ununue hilo. Sasa benk wao wananua hilo gari halafu wanakuuzia wewe kwa faida....say wao watakuuzia kwa mfano kwa mil 11. Tofaut ni kwamba mil hyo 11 utailipa kwa instalment kwa jinsi mlivokubaliana na benki. Hapo panakuwa hamna riba isipokuwa mmefanya biashara. Wana products nyngi ..na si lazima kuwa mwislam ili uwe mteja wao..!. Hiv karbn nimeona amana bank wamepartner na kampun ya kuuza viwanja...ambapo weww mteja unaweza kujipatia kiwanja sehem nzur sana kwa mtindo unaofanana na huo nlioelezea hapo mwanzo.
Riba sio biashara. Tehe tehe misaafu hii raha sana. Unanunua kitu 200 unauza 220 sio dhambi,ila ukikopa 200 ukirudisha 220 ni dhambi. etii tofauti ni kwamba hii ni riba ile ni faida ha ha ha.
Sa faida Si Ndo RIBA
faida sio riba
mkuu MR UNINFORMED ebu fafanua kidogo tuelewe. hilo gari wananiuzia kwa bei ya sokoni au wanaongeza hapo kitu kidogo ambacho ni riba ila wanaiita faida?? fafanua vzr, nikiwa na cash milion kumi napata gari, nikienda benk zao wananinunulia hilo gari alafu wananidai milion 11 nilipe kwa installment say mwaka mmoja. hapo kuna tofauti gani na kusema umenikopesha milioni kumi nilipe riba ya 10% kwa mwaka? naomba shule hapa
thanks kwa info. nimegundua kuwa kinachogomba hapa ni neno riba lakn riba kwa maana ya penalty ya kukaa na pesa ya benki kwa muda fulani ipo hapo. mm ninachotaka, gari linauzwa sokoni kwa milion kumi, mm sina hyo pesa, naelewana na benki wananipa hyo pesa nanunua gari, baada ya say mwaka mmoja narejesha milion kumi au nalipa kidogokidogo hadi namaliza milioni kumi. hapo hakuna riba. nikilipa zaidi ya hapo nitakuwa nimelipa riba. labda mm nina kichwa kigumu kuelewa, natanguliza samahani
Riba sio biashara. Tehe tehe misaafu hii raha sana. Unanunua kitu 200 unauza 220 sio dhambi,ila ukikopa 200 ukirudisha 220 ni dhambi. etii tofauti ni kwamba hii ni riba ile ni faida ha ha ha.
Asante sana. Nikuweke sawa kuwa si kwamba unakichwa ngumu hapana. Iko hiv...lazma tukubaliane kuwa hapa sheria inayotumika hapa ni islamic...ambayo inatafsri mambo tofaut na common law au angalau kwa jinsi tulivozoea. Sasa basi kwa mujib wa sharia...hela siyo commodity by itself. Ni means of exchanging value of commodity. Kwa maana hyo huwez kumpa mtu hela halafu arudishe na nyngeza kisha uite faida...kwa mujib ya islamic law itaitwa riba. Kurejea mfano wa gari ...hapa shida yako si hela ni gari....ila muuzaji wa gari pale befoward anauza mil 10. Weww huna mil kumi ila kuna muuzaji mwingine anasema ntakuzia gari hilo hilo...ila ntaweka faida kiasi fulani. Huyu muuzaji wa pili anakwambia nafuu ntakayokupa ni weww utanilipa polepole...sasa hapo huwez kusema ni riba. Labda niulze swali unapoenda kununua kibiriti kwa mangi yeye kaweka faida tayri je utakuwa umelipa riba?! Bila shaka hapana. Kwhyo sasa fact iko hiv...kwa islm bank ni lazma pawe na mali katikati..si swala la pesa kwa pesa pekee.