Aiseee tena asimpe kabisa... akimpa tuuu imekula kwake....
mbona rahisi tuu aangalie huyo jamaa kama ana nia ya kumuoa....
yeye katunza bikra mpaka mtu atakae muoa that very goog...
1Amuangalie huyo jamaa yake ana miaka mingapi?kama binti ana 33 jamaa anaweza kuwa na35+....so jamaa ana shughuli igani? ya kuingiza kipato?
2.Jamaa alishamtakia kuwa anataka kumuoa?if Not amuulize nini hatma ya uhusiano wao...
3.Kama binti atagundua jamaa ana nia binti amwambie jamaa akajitambulishe kwa wazazi,pia na yeye binti awajue wazazi wa jamaa na ndugu pia MUHIMU SANA HII Kama baba Mzazi wa jamaa,kaka na Dada hii itamuakikishia hadanganywi...
kama wana uhusiano muda mrefu huo ni Rahisi kujua ndugu zake walipo na wa ukweli...ASIYUMBUSHWE KWA HILO WALA ASIEWE NA WASIWASI KWA HILO KWASABABU HAPO MWANAUME NDO ANA HAMU SANA...AKUMBUKE KUJIAMINI NDI SILAHA KUU YA MWANAMKE.
4.Tofauti na hapo juu atulie mbona wapo wanaume wengi tuuu waowaji makazini huko na makongamano sio lazima yawe ya kidini....Akumbuke principle moja no kutoa papuchi bila kuwajua wazazi hasa Baba na mama wa kijana na utambulisho...Msomi hapo hudanganwyi wewe mwabnamke acha ujinga wa kudanganywa...