Msaada tutani: Nimpe au nisimpe?!

Msaada tutani: Nimpe au nisimpe?!

anaweza ingia na mwanaume geto halafu huyo dada akaulizia...huo mkia umeutoa wapi?
Ahahahahha, ni sheedah!
Kaka atashindwa kumrooogaaa!

Neno dicteta linasehemu zake kutumika...
Wewe Kama sio mhusika bora umlete humu au ndio utakuwa unachukia kila quote ya ushauri unamfikishia?
Simfikishii yupo hapa anasoma na kucheka anakuona haumpi msaada unazingua

Lara1>Money Penny
My dia nobody wants greaterness, rather being the best
 
Wapeane tu,bikra haihalalishi kuwa wastahili kuolewa,mwenye bikra hatangazi.
Miaka hii,hatuhitaji bikra bali amani ata bila ya mpira.
 
binti aangalie ustaarabu mwingine,amtafute aliekua serious aolewe nae, aache kua too selective.
pili asimpe huyo jamaa mpaka wafunge ndoa km jamaa anahitaji kumuoa kweli.

siku akimpa tu ndoa hakuna na bikira inaenda.
 
Za weekend wana MMU?!

Me jaman hizi kesi hizi mtanifunga sasa nakosa majibu ivooo!

Basi akaja dogo wangu m1, analalamika kama anataka kufa.. kupenda nako kubaya kiru!

Dada Penny, me nipo na mpenz wangu tunapendana sana, tupo kwenye mahusiano miaka 6 sasa, miaka 3 ya kwanza tulikuwa chuoni, mapenzi yakawa kwenye simu, skype, whatsapp, simu..boyfriend anasoma Bondeni mimi nasoma Uganda Makerere

Tulipotua Bongo baada ya shule kuisha tukaendelea na mahusiano live sasa, wote tumeokoka ivoo yale mambo ya kudonoana na mechi hamna mpaka ndoa, tukikutana ni stori za hapa na pale, hugs na kiss za mashavu imetokaa. Ndio wokovu sasa tunafanyaje, Yesu ndio kaagiza hivyo sisi ni kondoo tunatii

Money Penny: haleluyaaa! Sasa dogo, huyo boyfriend ni shoga au hanisi au?! Unauhakika hapigi nje kweli maana wokovu wa wanaume anaujua huyo huyo mwanaume mwenzao Mesiah! Kwanini unamfungia miguu labda?!

Dogo: Me hayo sijafuatilia, kama anapiga nje ni yeye shida ninayo mimi,

Money Penny: shida ipi sasa wewe dogo

Dogo: tatizo mimi Bikra

Money Penny: Bikra?! Una miaka mingap?!

Dogo: miaka 33

Money Penny: Tobaaa! Yesu ma Maria na Yisefu! 33 bado umepigwa bandeji, dogo hongera sana, je bwashee hajapasua glass kabisa?!

Dogo: ndio anajua, nilishamwambia mwanzo wa mahusiano yetu ila ndio hivyo sasa wokovu unataka tufunge miguu.
Hapa nimesubiri weee naona jamaa hanioi wala dalili hamna na umri unakwenda, sasa swali langu nakuuliza NIMPE papuchi anibikiri au NISIMPE?!

Naona kama nikimpa nitamkosa hatonioa au nikimpa atanioa akiikuta au nikimpa kwasababu amesubiri sana hataona thaman yake anaweza akapiga weee akichoka anasepa..Dada penny nafanyaje?! Embu nisaidie nimpe au nisimpe?!

Du mimi nimekosa pozi, naombeni msaada wenu wana MMU JF, je AMPE AU ASIMPEE?!



Aiseee tena asimpe kabisa... akimpa tuuu imekula kwake....
mbona rahisi tuu aangalie huyo jamaa kama ana nia ya kumuoa....
yeye katunza bikra mpaka mtu atakae muoa that very goog...
1Amuangalie huyo jamaa yake ana miaka mingapi?kama binti ana 33 jamaa anaweza kuwa na35+....so jamaa ana shughuli igani? ya kuingiza kipato?
2.Jamaa alishamtakia kuwa anataka kumuoa?if Not amuulize nini hatma ya uhusiano wao...
3.Kama binti atagundua jamaa ana nia binti amwambie jamaa akajitambulishe kwa wazazi,pia na yeye binti awajue wazazi wa jamaa na ndugu pia MUHIMU SANA HII Kama baba Mzazi wa jamaa,kaka na Dada hii itamuakikishia hadanganywi...
kama wana uhusiano muda mrefu huo ni Rahisi kujua ndugu zake walipo na wa ukweli...ASIYUMBUSHWE KWA HILO WALA ASIEWE NA WASIWASI KWA HILO KWASABABU HAPO MWANAUME NDO ANA HAMU SANA...AKUMBUKE KUJIAMINI NDI SILAHA KUU YA MWANAMKE.
4.Tofauti na hapo juu atulie mbona wapo wanaume wengi tuuu waowaji makazini huko na makongamano sio lazima yawe ya kidini....Akumbuke principle moja no kutoa papuchi bila kuwajua wazazi hasa Baba na mama wa kijana na utambulisho...Msomi hapo hudanganwyi wewe mwabnamke acha ujinga wa kudanganywa...
 
Usimpe. Kwa kuwa hujafanya bado, anaweza kukuta dimbwi akaghairi. Zuia mpaka akuweke ndani.
Ukizidiwa sana ni pm mimi
 
We demu nachukia uandishi wako ni mzigo hautii hamasa ya kuendelea kusoma, unaandika Kama upo kibarazani unateta na mashost zako
 
miaka 33 bado anaitunza aisee
anahisi wadada wote mjini wanao olewa kila weeken ni maBK??
 
33 old ni mdada, boyfriend atakuwa na 35? Au 40?
Bora atafute mwingine haraka sana, sitaki kuamin kuwa huyo mwanaume kweli hana mke
 
mimi nadhani huyo kaka anaweza asiwe na mtu maalumu ila akawa na pozeo kwa either kununua au vinginevyo ila si wa kumsumbua muda wote ili aendelee na huyo dada...i mean anakua anapunguza while waiting a real deal...
 
Back
Top Bottom