Msaada Tutani: Binti wa Kinondoni Muslim 1994

Msaada Tutani: Binti wa Kinondoni Muslim 1994

Companero

Platinum Member
Joined
Jul 12, 2008
Posts
5,609
Reaction score
1,735
Salaam. Kwa mwenye taarifa zozote za alipo mwanafunzi aliyekuwa akijulikana kwa jina la Rukiya Abdalla Ali kwenye shule ya Sekondari ya Al-Haramain mnamo mwaka 1994 naomba awasiliane na mimi haraka iwezekanavyo. Zawadi nono itatolewa.

Nyongeza: Huyu ni rafiki wa kifamilia tuliyopotezana miaka mingi, nimemtafuta kuanzia Mtoni kwa Azizi Ali hadi Chuoni sijampata.
 
Salaam. Kwa mwenye taarifa zozote za alipo mwanafunzi aliyekuwa akijulikana kwa jina la Rukiya Abdalla Ali kwenye shule ya Sekondari ya Kinondoni Muslim mnamo mwaka 1994 naomba awasiliane na mimi haraka iwezekanavyo. Zawadi nono itatolewa.

khaaaaaa...yaani mke wangu awasiliane na ww haraka?au unatania kaka..usifanye hivi bana ndoa yetu bado teke kweli
 
Hahahahah lol! Mkuu Companero umeamua kurudisha majeshi mstari wa mbele baada ya miaka 19 Mkuu lol! (I am just joking)...Rukiaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa unatafutwa huku njoo uchukue zawadi yako nono huku. Kila la heri Mkuu.

khaaaaaa...yaani mke wangu awasiliane na ww haraka?au unatania kaka..usifanye hivi bana ndoa yetu bado teke kweli
 
Hapa umpati nenda facebook,umekumbuka utamu wake nn?kaolewa yupo dubai.
 
Hapa umpati nenda facebook,umekumbuka utamu wake nn?kaolewa yupo dubai.
Mbona Dubai alishahama?siku hizi yuko Mascat Oman,ila nasikia yeye na mumewe wana mpango wa kuhamia Palestine soon!
 
Salaam. Kwa mwenye taarifa zozote za alipo mwanafunzi aliyekuwa akijulikana kwa jina la Rukiya Abdalla Ali kwenye shule ya Sekondari ya Kinondoni Muslim mnamo mwaka 1994 naomba awasiliane na mimi haraka iwezekanavyo. Zawadi nono itatolewa.
sio lazima huyo, tafuta mwingine.
 
huyu mbona alishabadili dini ndio yule aliyekuwa mke wa oscar wa paraolimpic.
 
Hahaha! Seriously?
Unajua kuna mtu alinianbia alishawahi kunitangaza radio free africa bila mafanikio sikumuamini!

Kila la kheri kaka, mweeh!
 
1994? old is gold.......radio one wana kipindi kinaitwa uko wapi jaribu huko pia
kila la heri
 
We Companero wewe, unataka kuhatarisha ndoa za watu wewe, mwishoni unarudi tena hapa MMU kuomba ushauri!
 
Last edited by a moderator:
Angalizo: Tangazo hili limewekwa huku MMU kwa kuwa tu ndilo jukwaa linalotembelewa na watu wengi, halihusiani kabisa na mapenzi
 
Hapa umpati nenda facebook,umekumbuka utamu wake nn?kaolewa yupo dubai.

Majina ya namna hiyo yana watu wengi facebook hivyo ni vigumu kumpata mhusika, labda pia amebadilisha jina kama ameshaolewa
 
1994? old is gold.......radio one wana kipindi kinaitwa uko wapi jaribu huko pia
kila la heri

Nipo mbali na radio wani, asante kwa ushauri lakini; naamini kabisa humu kuna waliosoma kinondoni muslim 1990-1994
 
Back
Top Bottom