Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,161
Okayy, pole nafikiri utamuona, jaribu pia kuandika jina lake kwenye google the search zaweza patikana clues like list ya waajiriwa wa serikali and so ukajua pa kuanzianadhani sijaeleweka, dada yake nilimuona kwa mbali nikataka kwenda kumuuliza, kabla sijamfikia akaondoka hivyo nikapoteza bahati