Msaada: Tumetapeliwa!

nimejaribu kuumiza kichwa tanzania tuna bank nyingi huyo wakala kajuaje kuwa ile namba imeunganishwa crdb ?
 
Kwamba kuna typing prediction ya tarakimu? 😝😝😝 mtapigwa sana kwa mtindo huu hamtaamini
 
Utawapata wasiohusika huwajui vibaka wewe.
Tena unaweza kupata ndugu zako, si wanaenda na vinida vyao kusajili laini au hawaendi? Kama wanaenda hamna jambo mkae kwa kutulia tu
 
UNA AKILI ZA HOVYO SANA....KWA TAARIFA YAKO HAKUNA MWIZI ANATUMIA SIMU ILIYOSAJILIWA JINA LAKE HALISI. NI SAWA NA WALE MAJAMBAZI WANAKURUPISHWA WANAKIMBIA WANAACHA GARI YAO, MTU ANASEMA SI WAFUATILIE TU NAMBA YA GARI TRA WATAMPATA, HAKUNA WEZI WANAOTUMIA GARI WAKAWEKA PLATE NAMBA HALISI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani we jamaa umetuonaje sisi kwamba ni mandezi sana, wazee sana, mirembe sana au?
 
Kwamba when you're a social engineer unaweza kutoa hela bila password? Ahahahaha Mungu nisaidie kicheko kitaniua
 
Mtoa mada ni mtu asiyejitambua no wonder anaibiwa na mke wake. Yaani watu wanampa ushauri yeye hata kujibu post moja! Ovyo kabisa
Kumbe kuna muda huwa unazo za kichwani.
Makofi kwako tafadhali
 
Sasa si utumie hiyo njia ya YouTube ufanye kama trial tu uone!
Ukifanikiwa find me i have 2 million cash for ya nigga
 
Wekeni security cameras na muache kufanya biashara ki-zamani. Hapo ungemkata walau sura.
Never trust a stranger next time around.

Sent using Jamii Forums mobile app
Cost ya hizo security cameras ikoje? Mimi fundi nije kukufungia utanilipa ngapi?
.
Biashara yako mtaji wake ni kiasi gani?
Ukishajua unaanguka unakufa
 
Wekeni security cameras na muache kufanya biashara ki-zamani. Hapo ungemkata walau sura.
Never trust a stranger next time around.

Sent using Jamii Forums mobile app
Cost ya hizo security cameras ikoje? Mimi fundi nije kukufungia utanilipa ngapi?
.
Biashara yako mtaji wake ni kiasi gani?
Ukishajua unaanguka unakufa
 
poleni sn, hapo mkubali tu mmetapeliwa na sidhan kama kunamsaada. kuhusu hizo line inabidi mzifunge na kurenew zingine.
tuwe makini na matapeli
 
Kuna mdogo wangu nae alipigwa kwa staili hio.......kosa ni kuwapa simu tu wanakumaliza hawaombi password wala taarifa yeyote........ dogo walimpiga tigopesa, crdb sim banking napo walikomba anashtuka anatumiwa mesej tu ya muamala kukamilika watu wameshabeba chao
 
Jombi inawezekana kabisa,Mfumo wa mawasiliano kati ya Mtandao wa Simu na Benki ni kwa kutumia SMS,Password yako ya SIM banking ni kwa ajili ya kuwezesha kutuma SMS tu na SMS ikienda kwenye Bank maana yake ni simu yako imetuma.Kwa maana nyingine mtu anapokuwa na simu yako na kisha kuwa password yako ya kuruhusu menu ya SIM banking itume messeji basi unakuwa tayari na access ya akaunti.

Sasa hapo kwenye Password ya Simbanking yako ndo ambapo panahitaji akili ya ziada na maelezo kutoka benki kwani kutakuwa na namna mtu anaweza pata access ya hio system na kukwiba PESA ambayo sidhani kama inafaa kujadiliwa humu mtandaoni ila zaidi ijadiliwe na wataalamu wa Cybe security kwenye Mabenk.
 
Noama saba mkuuu watu wanamjaza upepo mwana kama Mkewe kamzunguka lakini hapana aiseee Huu wizi upo sana tuu mimi kuna mwana aliibiwa Mil 1.5 sababu tu alipoteza line yake aliyojiunga nayo Sim banking akapuuzia hakufatilia sijui ikawaje jamaa baada ya kama miezi sita anashangaa bank pesa zimekombwaa na alieiba hakushika hata simu yake na wala hakuwa anajua password balaa sana
 
Hii kitu kama mtu haijamtokea hawezi kuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…