BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Ngoja nishauriane na Wanasheria Wangu MITO na KABOOM tukiona inafaa basi nitaungana nanyi
Wazee wa fursa wenzio...hahah
Ngoja nishauriane na Wanasheria Wangu MITO na KABOOM tukiona inafaa basi nitaungana nanyi
Heaven Sent kuwa makini....Mkuu nimeonja neno LA dada mchungaji Heaven Sent naona nimebarikiwa
Ngachokaa mbee na ndo hapo nataka nifanye kitu kimoja tuu yeye mwenyewe aseme sikutaki tena.
Mahakamani atanishinda na pesa zake after all hata akisema nguo zangu niache ntaacha maana sihitaji pesa yake wala mali yoyote niliyochuma nae wala mali niliyochuma kabla sijaolewa vyote namuachia. Nataka mwanangu tuu basi nikaanze upya.
Nikisema nimechoshwa na visa mjue nimechoka kwelikweli.....
Jamaa anapesa asipopewa game anaenda kutafuta MAPAKA nje anajilia kiroho safi mkuu, agomee vingine lkn sio game
Habari za jumapili waungwana,
Kimya kingi kina mshindo mwingi....... iko hivi nataka kuachika. ..... sababu nimechoka. ( vituko vya pombe)
Vituko vimezidi nimekuwa nikiongea na tunayazungumza na mwenzangu ila anarudia yale yale. Nataka kusonga mbele niendelee na maisha maana kama kulia nimelia sana kama kuvumilia nimevumilia sana.
Msaada wako ni niambie nifanyaje au nitumie njia ipi niachike bila ugomvi bila mimi kuwa na mchepuko bila kumlipizia visa alivonifanyia. Pia sitaki kutoroka nataka nikiachika niondoke na mwanangu na si kuwa baada ya hapo ntaanza mahusiano mapya laah. Nataka nijitawale mwenyewe nifanye yale nnayotaka na kumpa mwongozo mzuri mwanangu aje kuwa mtu mzuri baadae.
Mwenzenu nimechoka nimechoka sitaki cha padri wala askofu wala maongezi ya familia wala kikao cha ukoo.
Naomba nisaidie ikiwezekana January nianze 2016 maisha mapya.
Ubarikiwe kwa maoni yako.
Wanawake wa kabila/lugha hiyo kwenye red wakishaona wameanza kujiweza kimaisha huanza vitimbi vya kutaka kuachika. Hatushangai kwa uamuzi wako huo. Ni dhahiri mumeo kuwa mlevi ni wewe unamfrustrate. Bahati mbaya huyo jamaa yako si mchaga mwenzio ndiyo maana hata mazungumzo naye wala na jamaa zake wala na viongozi wa kanisa lake huyataki.
Wanawake wa kabila/lugha hiyo kwenye red wakishaona wameanza kujiweza kimaisha huanza vitimbi vya kutaka kuachika. Hatushangai kwa uamuzi wako huo. Ni dhahiri mumeo kuwa mlevi ni wewe unamfrustrate. Bahati mbaya huyo jamaa yako si mchaga mwenzio ndiyo maana hata mazungumzo naye wala na jamaa zake wala na viongozi wa kanisa lake huyataki.
Mkuu acha kunitia ubaya kwa dada mchungaji Heaven Sent
Babu nawe uzee utakuletea shida sasa, nilisema sababu kuu ni nimechoka. Kwenye mabano nikaweka visa vya pombe nilimaanisha alcohol na si the elected president.
Nataka kuachika kwa kuwa nimechoka sitaki tena kusuluhisha. Maana hayo nilishayafanya sana ila anarudia makosa yale yale yaani ni mfululizo wa visa.
Ngachokaa mbee na ndo hapo nataka nifanye kitu kimoja tuu yeye mwenyewe aseme sikutaki tena.
Mahakamani atanishinda na pesa zake after all hata akisema nguo zangu niache ntaacha maana sihitaji pesa yake wala mali yoyote niliyochuma nae wala mali niliyochuma kabla sijaolewa vyote namuachia. Nataka mwanangu tuu basi nikaanze upya.
Nikisema nimechoshwa na visa mjue nimechoka kwelikweli.....