Msaada tafadhali, naachikaje?

Msaada tafadhali, naachikaje?

Ngachokaa mbee na ndo hapo nataka nifanye kitu kimoja tuu yeye mwenyewe aseme sikutaki tena.
Mahakamani atanishinda na pesa zake after all hata akisema nguo zangu niache ntaacha maana sihitaji pesa yake wala mali yoyote niliyochuma nae wala mali niliyochuma kabla sijaolewa vyote namuachia. Nataka mwanangu tuu basi nikaanze upya.
Nikisema nimechoshwa na visa mjue nimechoka kwelikweli.....

Wanawake wa kabila/lugha hiyo kwenye red wakishaona wameanza kujiweza kimaisha huanza vitimbi vya kutaka kuachika. Hatushangai kwa uamuzi wako huo. Ni dhahiri mumeo kuwa mlevi ni wewe unamfrustrate. Bahati mbaya huyo jamaa yako si mchaga mwenzio ndiyo maana hata mazungumzo naye wala na jamaa zake wala na viongozi wa kanisa lake huyataki.
 
Pole Mae... We sepa tu na uwe na msimamo usirudi nyuma hataa wanye wazee kuomba
 
Tanzania kungekuwa na 'no-fault divorce' ningekushauri uchukue mkondo huo.

Hapo huhitaji sababu ingine zaidi ya 'kumchoka' 'kutoendana' au kuwa na 'tofauti zisizoweza patanishwa'.

Huhitaji kuonyesha kosa alilofanya mwenza wako. Raha sana kwa kweli.

Ila kibongo bongo hapo itabidi utumie njia mbadala.

Jaribu hizi: acha kuoga na kujisafisha mara kwa mara; acha kupiga mswaki; acha kujiremba na kujipodoa; acha kunyoa kwapa na kule sehemu sehemu; acha kupaka deodorant na kiachie kikwapa kiteme harufu kali.

Kwa kifupi, kuwa mchafu halafu uone kama yeye hajakuacha.
 
Jamaa anapesa asipopewa game anaenda kutafuta MAPAKA nje anajilia kiroho safi mkuu, agomee vingine lkn sio game

Kwa vile anataka kumuacha asimpe game....tena ahane chumba alale na mtoto.....acha akachukue mipakashume yake...ila lazima itamuuma.

Na huduma zote kama mke azisitishe. Yeye awe busy na mwanae tu. Weekend awe anaenda kula bata bagamoyo zenji nk
 
Habari za jumapili waungwana,
Kimya kingi kina mshindo mwingi....... iko hivi nataka kuachika. ..... sababu nimechoka. ( vituko vya pombe)

Vituko vimezidi nimekuwa nikiongea na tunayazungumza na mwenzangu ila anarudia yale yale. Nataka kusonga mbele niendelee na maisha maana kama kulia nimelia sana kama kuvumilia nimevumilia sana.
Msaada wako ni niambie nifanyaje au nitumie njia ipi niachike bila ugomvi bila mimi kuwa na mchepuko bila kumlipizia visa alivonifanyia. Pia sitaki kutoroka nataka nikiachika niondoke na mwanangu na si kuwa baada ya hapo ntaanza mahusiano mapya laah. Nataka nijitawale mwenyewe nifanye yale nnayotaka na kumpa mwongozo mzuri mwanangu aje kuwa mtu mzuri baadae.
Mwenzenu nimechoka nimechoka sitaki cha padri wala askofu wala maongezi ya familia wala kikao cha ukoo.
Naomba nisaidie ikiwezekana January nianze 2016 maisha mapya.
Ubarikiwe kwa maoni yako.

Aaaaaah! umeharibu kuweka jina la pombe hapo imekaa vibaya nimekumind sana
 
Wanawake wa kabila/lugha hiyo kwenye red wakishaona wameanza kujiweza kimaisha huanza vitimbi vya kutaka kuachika. Hatushangai kwa uamuzi wako huo. Ni dhahiri mumeo kuwa mlevi ni wewe unamfrustrate. Bahati mbaya huyo jamaa yako si mchaga mwenzio ndiyo maana hata mazungumzo naye wala na jamaa zake wala na viongozi wa kanisa lake huyataki.

Aisee unakauzoefu mkuu
 
Hahhaha hapo kwenye kuacha kuoga n.k lazima akimboe
 
Asante ccm kwa mbegu hii mliyoipanda...... itakapochipua na kutoa matunda sijui itakuwaje tanzania hii


Wanawake wa kabila/lugha hiyo kwenye red wakishaona wameanza kujiweza kimaisha huanza vitimbi vya kutaka kuachika. Hatushangai kwa uamuzi wako huo. Ni dhahiri mumeo kuwa mlevi ni wewe unamfrustrate. Bahati mbaya huyo jamaa yako si mchaga mwenzio ndiyo maana hata mazungumzo naye wala na jamaa zake wala na viongozi wa kanisa lake huyataki.
 
Kusanya ushahidi wa kutosha kuhusiana na matatizo yako peleka kwa ustawi wa jamii, au kwa baraza lolote la usuluhishi wa ndoa kabla ya kwenda mahakamani kudai talaka bila hivyo kesi yako itakua dhaifu dhidi yake, hati kutoka baraza la usuluhisi wa ndoa kua mgogoro wenu umeshindikana kutatulika ni muhimu sana.
 
Mwambie mtoto sio wake.....

Simple and clear atakuachia mtoto na wewe utaachika milele.

Vita ni vita muraa naona unachagua sana silaha...
 
Duh! Hujaeleza sababu ya kwa nini unataka uachike... Iwapo ni ndoa ya Kikristo sio rahisi kuivunja isipokuwa kama utathibitisha kuwa mwezi wako anachepuka. Cha kufanya ni kwenda mahakamani kupeleka shauri la kudai talaka... Wakati hayo yakiendelea unaweza ukawaomba wazee wakuelekeze jinsi ya kuondoka zako. Lakini pia ni bora umwambie mwenzako kuwa umechoka kukaa naye na unaomba mtengane. Mbona mke wa Putin aliomba aachike na mzee akamkubalia?
 
Babu nawe uzee utakuletea shida sasa, nilisema sababu kuu ni nimechoka. Kwenye mabano nikaweka visa vya pombe nilimaanisha alcohol na si the elected president.
Nataka kuachika kwa kuwa nimechoka sitaki tena kusuluhisha. Maana hayo nilishayafanya sana ila anarudia makosa yale yale yaani ni mfululizo wa visa.
Ngachokaa mbee na ndo hapo nataka nifanye kitu kimoja tuu yeye mwenyewe aseme sikutaki tena.
Mahakamani atanishinda na pesa zake after all hata akisema nguo zangu niache ntaacha maana sihitaji pesa yake wala mali yoyote niliyochuma nae wala mali niliyochuma kabla sijaolewa vyote namuachia. Nataka mwanangu tuu basi nikaanze upya.
Nikisema nimechoshwa na visa mjue nimechoka kwelikweli.....

Duu,kweli hapo ndoa imekuwa ndoano.Pole sana Mama
 
Wee mlengeshe huyo mumeo kwanguu akuage yuko sfr alafu ahamie kama wiki uje kutufumaniaa tukiwa tunafanya tabia mbaya.
 
Back
Top Bottom