Msaada tafadhali, naachikaje?

Msaada tafadhali, naachikaje?

Basi kama ni Hivyo tafuta mwanaume kisha muingize ndani na ukiona muda wa mr kurudi umewadia mnavua nguo '''''hataka kama sio zote kisha mnakaa sebuleni huku mmepandishiana miguu nadhani hiyo itakua mbinu safi kabisaa

Atauwawa. Mkunde Original, muombe tu Mungu, ni mwaminifu. Na anajua unahitaji nini kuliko wewe mwenyewe. Waweza tengana naye chumba huku ukidumu ktk maombi, kama anakuabuse physically basi una haki za kisheria kudai separation
 
Hueleweki Mkunde Original. Inakuwaje unata kuachika wakati huna sababu za msingi?
Babu nawe uzee utakuletea shida sasa, nilisema sababu kuu ni nimechoka. Kwenye mabano nikaweka visa vya pombe nilimaanisha alcohol na si the elected president.
Nataka kuachika kwa kuwa nimechoka sitaki tena kusuluhisha. Maana hayo nilishayafanya sana ila anarudia makosa yale yale yaani ni mfululizo wa visa.
Ngachokaa mbee na ndo hapo nataka nifanye kitu kimoja tuu yeye mwenyewe aseme sikutaki tena.
Mahakamani atanishinda na pesa zake after all hata akisema nguo zangu niache ntaacha maana sihitaji pesa yake wala mali yoyote niliyochuma nae wala mali niliyochuma kabla sijaolewa vyote namuachia. Nataka mwanangu tuu basi nikaanze upya.
Nikisema nimechoshwa na visa mjue nimechoka kwelikweli.....
 
Last edited by a moderator:
Basi kama ni Hivyo tafuta mwanaume kisha muingize ndani na ukiona muda wa mr kurudi umewadia mnavua nguo '''''hataka kama sio zote kisha mnakaa sebuleni huku mmepandishiana miguu nadhani hiyo itakua mbinu safi kabisaa

She said ana jeuri ya pesa what if he kills that innocent man!?
 
Ndiyo cost ya uamuzi wenyewe mkuu. Mara nyingi na akina na mama wengi hudhani kwamba mali zinazopigwa panga la 50 kwa 50% ni za mwanamume tu. Ni mali zote zilizochumwa kwenye ndoa na kama mnaweza kudhibitisha pasi na shaka kwamba kweli ni za wanandoa wote au mmoja wao.

Nafikiri haifanyi kazi kwa ndoa zote. Kwa mfano ndoa ya Kiislamu mgawanyo huwa tofauti
 
Jeuri yake ya pesa inahusika vipi na mahusiano yenu?

Na mtu anakuchoka vipi sasa bila visa?

But anyway, here's the plan. Jaribu kuwa mlokole, unashinda kanisani kila siku. Siku ambazo yuko home, waalike wapendwa mnene zile scripted languages. Akivumilia hayo, baki tu. Good luck.

I think this is wise idea so far
 
Atauwawa. Mkunde Original, muombe tu Mungu, ni mwaminifu. Na anajua unahitaji nini kuliko wewe mwenyewe. Waweza tengana naye chumba huku ukidumu ktk maombi, kama anakuabuse physically basi una haki za kisheria kudai separation

Wewe unamwelewa huyu dada? Mwanzoni nilidhani nimemwelewa.
 
She said ana jeuri ya pesa what if he kills that innocent man!?

Huwezi kuandaa Mtego bila kujua jinsi ya Kutegua.. Inachohitaji ni sababu ipi ya kumuondoa nyumbani.. Kwahiyo kuna mitego mingi mkuu.. Ile Ikiingia tu jamaa nae anachomoka kama mshale ikibidi hata kikumbo ampige tu na hata atakapokuja kuinuka jamaa atakuwa keshapotea.. NB hata kama Anajeuri Ya Pesa Hawezi kuwa Juu ya Sheria
 
Mungu Ambariki Sana Heaven Sent... Amefanikiwa kuwabadili vijana kutoka kwenye Ukamataji wa Fursa Mpaka Kufikia kulitambua neno na kumjua Mungu. Imani Ya bwana iwe nawe

Hahaha Amen mpendwa. Na wewe uje basi, hujachelewa hata. Prayer fixes everything na hakuna jambo Mungu asiloliweza
 
Wewe unamwelewa huyu dada? Mwanzoni nilidhani nimemwelewa.

Huyu Dada hana sababu za Msingi, inavyoonekana keshapata kijamaa huko nje.. Huwezi kutafuta sababu ya kuachana na mumeo eti kwa usalama bila kugombana. Sasa hapo ninachojua kwa huyu binti hana uhakika na huko aendako ndio maana anataka kuachana na jamaa bila kugombana Ili maisha Yakimpiga Chenga huko aendako iwe ni rahisi kurudi
 
Ngoja nishauriane na Wanasheria Wangu MITO na KABOOM tukiona inafaa basi nitaungana nanyi
Sawa mpendwa, ila mwisho wa siku "kila mtu atatoa hesabu ya matendo yake mwenyewe". Hutohukumiwa mkiwa group hata
 
Nafikiri haifanyi kazi kwa ndoa zote. Kwa mfano ndoa ya Kiislamu mgawanyo huwa tofauti

Ni kweli ila itabidi wahusika wote wakubali mahakamani kwamba wanataka kesi yao iamuliwe kwa sheria za kiisilam au za kimila. Mbali ya hapo sheria za nchi zitatumika.
 
Wewe unamwelewa huyu dada? Mwanzoni nilidhani nimemwelewa.

Ninachokumbuka ni mabandiko yake ya nyuma a year or two before kuhusu matatizo ya mumewe.
Tulimshauri, so inaonekana hakuna improvement na amechoka. Amesema alishajaribu kuondoka lakini akarudishwa (shinikizo au..?) Anaogopa mahakamani kwa corruption iliyopo hatafaulu. She is nice kinda woman so hataki kuharibu reputation yake kwa ajili ya kutafuta separation.

Kwanini hafunguki zaidi? Mtazamo wangu ni:-

-ni mke mwema hataki kutoa siri za nyumbani
-mume au ndugu wa karibu, wapo jf hivyo kuconnect dots ni rahisi
-ameshafanya maamuzi so haihitaji ushauri wa 'vumilia' n the like, after all tulishamshauri nyuma.
 
Kama huna mpango wa mali timua tu otherwise nenda kwa court
 
Babu nawe uzee utakuletea shida sasa, nilisema sababu kuu ni nimechoka. Kwenye mabano nikaweka visa vya pombe nilimaanisha alcohol na si the elected president.
Nataka kuachika kwa kuwa nimechoka sitaki tena kusuluhisha. Maana hayo nilishayafanya sana ila anarudia makosa yale yale yaani ni mfululizo wa visa.
Ngachokaa mbee na ndo hapo nataka nifanye kitu kimoja tuu yeye mwenyewe aseme sikutaki tena.
Mahakamani atanishinda na pesa zake after all hata akisema nguo zangu niache ntaacha maana sihitaji pesa yake wala mali yoyote niliyochuma nae wala mali niliyochuma kabla sijaolewa vyote namuachia. Nataka mwanangu tuu basi nikaanze upya.
Nikisema nimechoshwa na visa mjue nimechoka kwelikweli.....

Kama ni kuchoka tu unachohitaji ni likizo au temporary separation. Kuachana au divorce ni jambo zito na lazima uwe na sababu za kufikia uamuzi huo.

Labda tukushauri utoroke kwa muda ila akienda polisi utasakwa na kurejeshwa chini ya ulinzi mkali. Nakushauri usiendelee kujipa depression itakayokuharibia maisha na ya mwanao. Tafuta suluhu kisheria.
 
Vituko gani hvyo amekufanyia mpaka uondoke?

Wewe mwenyewe una mtreat vp mmeo hadi aamue kutobadilika?

Tabia zako wewe zikoje, usikute wewe ndio tatizo. Hatuwezi hukumu hli upande mmoja.
 
Ninachokumbuka ni mabandiko yake ya nyuma a year or two before kuhusu matatizo ya mumewe.
Tulimshauri, so inaonekana hakuna improvement na amechoka. Amesema alishajaribu kuondoka lakini akarudishwa (shinikizo au..?) Anaogopa mahakamani kwa corruption iliyopo hatafaulu. She is nice kinda woman so hataki kuharibu reputation yake kwa ajili ya kutafuta separation.

Kwanini hafunguki zaidi? Mtazamo wangu ni:-

-ni mke mwema hataki kutoa siri za nyumbani
-mume au ndugu wa karibu, wapo jf hivyo kuconnect dots ni rahisi
-ameshafanya maamuzi so haihitaji ushauri wa 'vumilia' n the like, after all tulishamshauri nyuma.

Ndiyo maana nimesema kuwa akiendelea hivi atapata depression a matatizo mengi zaidi. Bado naamini akitafuta msaada wa kisheria itamsaidia sana.

No shortcut.
 
Back
Top Bottom