ibra87
R I P
- Jul 22, 2015
- 5,614
- 5,360
Dini ni Imani na matendo yako Mpendwa. Unaweza kuwa mshauri mzuri lakini ukawa ni mtenda Dhambi mkubwa. Naamini naishi ndani ya MunguSawa mpendwa, ila mwisho wa siku "kila mtu atatoa hesabu ya matendo yake mwenyewe". Hutohukumiwa mkiwa group hata