Kuna mtu kanitumia hela kutoka mpesa kuja Halotel,lakini haikuingia kwenye halopesa ,isipokuwa imekuja kama sms ya kawaida,kiasi na namba ya siri nitembelee kwa wakala kupata Pesa taslim,hela ni ndogo nataka kuiweka halopesa ninunue vocha,nifanyaje
Wenye kujua
Wenye kujua