kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,076
- 8,132
Salaam.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba mwenye kujua ofisi za hawa jamaa wanaitwa Selcom malipo mtandaoni.
Mnamo tarehe 01 November nilipita kituo cha mafuta cha Puma pale posta kuweka mafuta bahati mbaya sikuwa na cash hivyo nikaona kuna njia ya kulipia kwa simu. Nikawaelekeza wajaze mafuta nilipie kwa simu. Niliwekewa mafuta na kufanya malipo hela ikakatwa kwenye balance yangu lakini ile message ya selcom haikuja.
Ikabidi pump attendant akomae nisiondoke mpaka hiyo message ifike, katika kuokoa muda ikabidi nitafute wakala wa Mpesa nitoe kawaida kisha nikalipia cash nikasepa.
Ikapita siku 2 nikawapigia Voda wakasema hela imeenda selcom wakanipa na namba zao ajabu hizo namba hazijawahi kupokelewa ever since.
Sasa nataka niwaibukie ofisi kwao wanipe hiyo sms ili nikipita siku nyingine niitumie kujaza mafuta.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba mwenye kujua ofisi za hawa jamaa wanaitwa Selcom malipo mtandaoni.
Mnamo tarehe 01 November nilipita kituo cha mafuta cha Puma pale posta kuweka mafuta bahati mbaya sikuwa na cash hivyo nikaona kuna njia ya kulipia kwa simu. Nikawaelekeza wajaze mafuta nilipie kwa simu. Niliwekewa mafuta na kufanya malipo hela ikakatwa kwenye balance yangu lakini ile message ya selcom haikuja.
Ikabidi pump attendant akomae nisiondoke mpaka hiyo message ifike, katika kuokoa muda ikabidi nitafute wakala wa Mpesa nitoe kawaida kisha nikalipia cash nikasepa.
Ikapita siku 2 nikawapigia Voda wakasema hela imeenda selcom wakanipa na namba zao ajabu hizo namba hazijawahi kupokelewa ever since.
Sasa nataka niwaibukie ofisi kwao wanipe hiyo sms ili nikipita siku nyingine niitumie kujaza mafuta.