young nigger tz
Member
- Jun 25, 2019
- 27
- 17
Amna kesi apo kesi akiwa na mimba
Sasa unataka ushauri gani? Muhimu nenda police sema mwanafunzi alitaka kukubaka basi...jamhurii inaweza kukupunguzia adhabu kwa kua ni kosa la kwanza la huyo mwanafunzi kutaka kukbaka!Habarini wadau.
Mimi ni baba wa familia ya mtoto mmoja na mke ambaye tunapendana sana. Pia Mimi ni mwalimu mpya wa shule moja hapa jiji kasoro bahari nina kama miezi mitano (5) hapa shuleni ila naona muda wowote naenda kufukuzwa.
Kisa chenyewe.
Mwezi huu mwanzoni kuna binti wa kidato cha tatu alinifuata ofisini jioni na maswali kadhaa ya somo ninalofundisha. nikamuelekeza kwa muda baadae anavyoondoka akasema anaomba namba yangu akawape wazazi wake pindi watakapomuuliza kwanini amechelewa kurudi home, nilikubali maana sikuona unayaendeleza wowote, usiku WA saa 4 hivi nikapokea message nyingi zikijitambulisha ni yule binti nikachukuliwa kawaida tu na nilimjibu kawaida maana wife alianza kuchukia so nikaacha kuchat.
Ila yule binti hakukoma aliendelea na siku moja usiku alinipigia nikiwa kwenye bia kupunguza mawazo,, alivyonipigia nadhani aligundua nimelewa akaanza kunichombeza ingawa sikuwa nimelewa sana ila nilishindwa mkataa pindi aliponiambia ananipenda maana kilakotu nilijibu sawa mpaka alivyokata simu.. Siku yako Pili asubuhi ndo nikakumbuka kama aliniambia vitu vya ajabu nikajilaumu sana na kabla sijatoka nyumbani kwenda kazini akatuma message yenye maneno ya mahaba sikumjibu.
Baada ya siku kadhaa nikajikuta nachat nae kuhusu mambo ya mahaba, ingawa sikupanga kuonana nae kwa namba yoyote.
MSAADA NINAOTAKA.
juzi usiku nilitumiwa message nyingi kwa namba ngeni nilivyojibu ndo akawa anasema baba ake ameona message amempiga haswa na anampango wa kuja shuleni kesho, wadau Msaada wenu muhimu je nifanyaje Wakuu na nijiteteaje?
Asanteni
Kabananishwa hadi kanitaja mkuu ila mimi sijamfanya chochote na wala sikufikiria kumla.Kwahy kwenye kuchat alikua anakuita mwalimu nanii na amekusave mwalimu naniii?
Au alivyouliza ndio kakutaja
Mkuu mzee mwenyewe anamaisha mazuri sana kiasi kwamba hizo laki 2 ni ndogo sana na ni Don sana kiasi kwamba nikimfuata naweza kuangamiaMfate huyo mzee muombe radhi, hata akitaka hela mpe, au nenda hata na vilaki mbili au tatu muombe radhi, mwambie wewe ni binadamuuu, ni shetan tuu alikupitia, pls usipuuze ushaur huu mfate mzeee kabla, kesho haijafika,
Acha kumpoteza.Anakwambia alikua ana chart nae.sms zitamfunga.Cha msingi angeweka hio charting humu.All in all mchawi pesa.Mtafute mzee mkae muyazungumze.mtwange bahasha ya pesa kama kiomba radhi.yatakua yamekwisha na utaendelea kumbonya mwanafunzi wako mpaka utakapokula 30yrs jelaApo mzee Fanya kumfuata mkuu wa shule kueleza kisa kizima afu mbadilishie kesi uyo dg Kwamba anakutaka leo hii aandikiwe baba ake barua Kwamba mwanae anamakosa ya kinidhamu gemu kwisha asubuh j3 aletwe mbele ya shule nzima na ueleze tabia yake bila ivo utakuwa umekwisa......... .......... Hii mbinu nilimpa rafiki angu na alishinda kila La heri..........afu Kumbuka usifute wala kuficha message yoyote ile..... Utaumbuka ........over
Kama ni muelewa jaribu kumshirikisha hilo tatizo ili aweze kulipangua litakapomfikiaWakiume ila ni wamakamo sana