Msaada: SMS ninazochat na mwanafunzi zimekamatwa

Msaada: SMS ninazochat na mwanafunzi zimekamatwa

Sikiliza wimbo wa Shaggy "It wasn't me" utakusaidia Sana..

KILA kitu say it was not you.... Tafuta mshikaji wa kitaa mtoe 50,000# aseme alikuwa anachati naye through your phone..
Hi inaweza fanikiwa vipi kesi ikienda mahakamani
 
Simu ni nyenzo ya mawasiliano. Wewe mwalimu wa chekechea nini? Mimi nimefundisha chuo kikuu wakati fulani na pengine hii inaleza kwa nini tuna misimamo tofauti kwa vile uelewa wetu ni tofauti. Usinione mkulima. Kumlaumu mtoto kwa kosa la mtu mzima ambaye ni mwalimu wake ni upuuzi wa walimu kama nyie. Haustahili kabisa kuwa mwalimu. Mtoto is a victim here na wala siyo kisababishi. Full stop! na hata hao bodaboda bado sheria inawabana. Akikamatwa ni hivyo hivyo kama walimu mafedhuri kama nyie.

Mzee baba punguza nyundo aisee,alafu ujuaji mwingi.msaidie mwenzio
 
Simu ni nyenzo ya mawasiliano. Wewe mwalimu wa chekechea nini? Mimi nimefundisha chuo kikuu wakati fulani na pengine hii inaleza kwa nini tuna misimamo tofauti kwa vile uelewa wetu ni tofauti. Usinione mkulima. Kumlaumu mtoto kwa kosa la mtu mzima ambaye ni mwalimu wake ni upuuzi wa walimu kama nyie. Haustahili kabisa kuwa mwalimu. Mtoto is a victim here na wala siyo kisababishi. Full stop! na hata hao bodaboda bado sheria inawabana. Akikamatwa ni hivyo hivyo kama walimu mafedhuri kama nyie.
mimi ni mwalimu na mzazi pia, nina misimamo yangu katika malezi, mara ngapi huwa tuna waita wazazi kwa kesi za watoto wao, na mwisho wa siku tuna gundua tatizo liko kwa mzazi? kama simu ni nyenzo ya mawasiliano kwa nini tunazipiga vita mashuleni na kwa watoto(under 18)? bora kuwa mwalimu wa chekechea ukawa mwepesi kuelewa kuliko mwalimu wa chuo kikuu halafu mgumu kuelewa, by the way sijasema mtoto ndiyo kisababishi, nimesema wa kulaumiwa pia ni wazazi na jamii kwa ujumla sijasema tuwa exclude walimu, wewe umekazania sheria, kabla ya sheria we can do something better than. ninachokiona kwako huna experience ya malezi ya watoto under 18, unaongelea chuo kikuu, chuo kikuu kuna mtoto? huko chuo kikuu kwenyewe mnatoa degree za chupi au nyie siyo walimu? tatizo linaanzia nyumbani, bro. mlee mwanao vizuri ajitambue, aijue thamani yake, uking'ag'ania hayo malezi yenu ya kizungu, utaishia kulea wajukuu, eti simu chombo cha mawasiliano, unawajua anao wasiliana nao?
 
Hi inaweza fanikiwa vipi kesi ikienda mahakamani
Kesi haitakiwi kuona vizingiti vya mahakama..... Mtu akishahamishia kete kwake basi Baba mzaa chema adungwe hata laki mbili...kazi kwisha..
Maana ikienda mbele kazi hakuna,aibu,kufungwa,kuacha familia ukiwa na kadhalika na kadhalika
 
Wewe cheza na watoto tu. Hata sheria isipokukamata, Mungu anakuona na atakuhukumu accordingly.Umekazania malezi, malezi... Nani siyo mzazi? Eti watoto wa siku hizi... Watoto wa zamani kabla haujazaliwa unawajua? Ulikuwepo? Visingizio tu kuhalalisha tamaa zenu. Mtoto ni mtoto tu. Akikutaka kufanya jambo ambalo ni jinai, wewe mtu mzima wajibu wako ni kukataa na kumwadhibu. Nyie wa ush*nzini mnatoa namba halafu mnaanza ku-chat na watoto halafu mnawalaumu wazazi eti. Mfungwe muozee jela!
mimi ni mwalimu na mzazi pia, nina misimamo yangu katika malezi, mara ngapi huwa tuna waita wazazi kwa kesi za watoto wao, na mwisho wa siku tuna gundua tatizo liko kwa mzazi? kama simu ni nyenzo ya mawasiliano kwa nini tunazipiga vita mashuleni na kwa watoto(under 18)? bora kuwa mwalimu wa chekechea ukawa mwepesi kuelewa kuliko mwalimu wa chuo kikuu halafu mgumu kuelewa, by the way sijasema mtoto ndiyo kisababishi, nimesema wa kulaumiwa pia ni wazazi na jamii kwa ujumla sijasema tuwa exclude walimu, wewe umekazania sheria, kabla ya sheria we can do something better than. ninachokiona kwako huna experience ya malezi ya watoto under 18, unaongelea chuo kikuu, chuo kikuu kuna mtoto? huko chuo kikuu kwenyewe mnatoa degree za chupi au nyie siyo walimu? tatizo linaanzia nyumbani, bro. mlee mwanao vizuri ajitambue, aijue thamani yake, uking'ag'ania hayo malezi yenu ya kizungu, utaishia kulea wajukuu, eti simu chombo cha mawasiliano, unawajua anao wasiliana nao?
 
Wewe cheza na watoto tu. Hata sheria isipokukamata, Mungu anakuona na atakuhukumu accordingly.Umekazania malezi, malezi... Nani siyo mzazi? Eti watoto wa siku hizi... Watoto wa zamani kabla haujazaliwa unawajua? Ulikuwepo? Visingizio tu kuhalalisha tamaa zenu. Mtoto ni mtoto tu. Akikutaka kufanya jambo ambalo ni jinai, wewe mtu mzima wajibu wako ni kukataa na kumwadhibu. Nyie wa ush*nzini mnatoa namba halafu mnaanza ku-chat na watoto halafu mnawalaumu wazazi eti. Mfungwe muozee jela!
[emoji16][emoji16] Siyo kama nafurahia ulicho andika, ala nacheka ulichoandika
 
Simu ni nyenzo ya mawasiliano. Wewe mwalimu wa chekechea nini? Mimi nimefundisha chuo kikuu wakati fulani na pengine hii inaleza kwa nini tuna misimamo tofauti kwa vile uelewa wetu ni tofauti. Usinione mkulima. Kumlaumu mtoto kwa kosa la mtu mzima ambaye ni mwalimu wake ni upuuzi wa walimu kama nyie. Haustahili kabisa kuwa mwalimu. Mtoto is a victim here na wala siyo kisababishi. Full stop! na hata hao bodaboda bado sheria inawabana. Akikamatwa ni hivyo hivyo kama walimu mafedhuri kama nyie.
Mkuu punguza jazba!
 
Nani atatusaidia watoto wetu, nyie walimu ndo tunaowaamini matokeo yake ndo haya sasa!

Kabla hujaanza kuchat na wanafunzi mfikirie!Moreen, ungependa nae apitie hayo unayompitisha huyo mwanafunzi?!
Kama sio, jiadhibu kabla hujaadhibiwa!!

Wazazi mmeona, tujitahidi sana kuwapa watoto wetu malezi yenye hofu ya Mungu jamani, tusisahau kuwaombea hawa watoto!
Mkuu nimekuelewa ila bila kulewa nisingefikia hatua hii.
 
Yaanii sijuii kama itasaidia.

Ila fanya hivi we sems kwamba ndioo huyu mtoto alikuja,akaomba namba na akasema anawaletewa ninyi wazazi wake.

Ila baada ya hapo ulipigiwa simu na mdada mtu mzima akajitambulisha na,akasema namba ali mtuma mtu aje kuchukua kwangu na si kumuuliza ni nani maana namba una gawa hovyoo sasaa ukawa unachati naee mara kibaoo.

Ila kila ukimwambia muonane hataki. Ndo ikabidi niwe na chat nae kawaida tu.

Ila kiukwelii sikujua kama ni huyu mtoto maana huyu mara ya mwishoo kuonana ili kuwa ni ofisi na alikuja na maswalii.
Mkuu shukrani sana sana nikiponeshe a hapa nitakuwa mtakatifu aiseh
 
Mkuu nimekuelewa ila bila kulewa nisingefikia hatua hii.
Usiache pombe itawale akili yako!
Baada ya kugundua umelewa ulifanya nini, baada ya pombe kuisha mbona uliendelea kuchat nae?!
 
Binafsi najua mazingira ya hawa watoto, asiye jua atakimbilia kukutukana, wakati mwingine walimu wanajikuta katika mitihani hii si kwa kutaka, sema na wewe ulionyesha udhaifu, ilitakiwa umkazie, nachokushauri ongea na mkuu wako kabla ishu haijawa hot, mtafuteni mzazi wake myamalize, hii ishu ikifika TSC umekwisha, hata kama utasolve itakuwa imekuathiri sanaa, kwa sababu wazazi wengi wana negative altitudes na walimu, hata jamii inayomzunguka mwalimu, mfano mzuri angalia michango unayoipokea humu, hakuna atakaye kusupport itakapo erupt,
kweli mkuu tunakumbana na mengi
 
Pole mkuu kwa msala huo. Ila usiogope huenda huyo mzazi asifike shuleni we kausha tuu kwanza usikilizie! Ukiona kama kweli amefika shule basi geuza kibao kwamba namba uliyokuwa unachati nayo ni ya x wako au mchepuko /whatever lakini mkatae kabisa huyo mwanafunzi na hiyo namba alitumwa huyo binti kuifuata kwako kwa hiyo we siku zote unajua unachati naye na tunga hapo hapo ana namba mbili nyingine hii(sasa hiyo iwe ya mtu ambaye ushampanga ) ili kuepuka kukiri kosa ni noma.
Tupo pamoja mkuu ngoja nijipange
 
Kwani hiyo kozi uliyokuwa unasoma haikuwa na Module ya Ethics???🤔
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom