Msaada: SMS ninazochat na mwanafunzi zimekamatwa

Msaada: SMS ninazochat na mwanafunzi zimekamatwa

Ngoja uvune ulichopanda mshenzy mkubwa wewe!! Unampaje mwanafunzi namba zako za simu? Walimu wa siku hizi sijui mpoje[emoji32][emoji51][emoji48]
 
Hapo mzee fanya kumfuata mkuu wa shule kueleza kisa kizima afu mbadilishie kesi huyo dogo Kwamba anakutaka leo hii aandikiwe baba ake barua kwamba mwanae ana makosa ya kinidhamu gemu kwisha, asubuh jumatatu aletwe mbele ya shule nzima na ueleze tabia yake bila hivyo utakuwa umekwisha.

Hii mbinu nilimpa rafiki yangu na alishinda, kila la heri. Alafu kumbuka usifute wala kuficha message yoyote ile. Utaumbuka. Over.
 
Binafsi najua mazingira ya hawa watoto, asiye jua atakimbilia kukutukana, wakati mwingine walimu wanajikuta katika mitihani hii si kwa kutaka, sema na wewe ulionyesha udhaifu, ilitakiwa umkazie, nachokushauri ongea na mkuu wako kabla ishu haijawa hot, mtafuteni mzazi wake myamalize, hii ishu ikifika TSC umekwisha, hata kama utasolve itakuwa imekuathiri sanaa, kwa sababu wazazi wengi wana negative altitudes na walimu, hata jamii inayomzunguka mwalimu, mfano mzuri angalia michango unayoipokea humu, hakuna atakaye kusupport itakapo erupt,
 
Katika hili you're partially to be blamed, ulitakiwa ukaze tangu mwanzo, udhaifu wako(na wanaume wengi) ndio unakufikisha hapa ulipo sasa.

Mabinti zetu wengi tu sasa hivi wamekuwa na tabia mbaya sana, wanajiingiza katika mahusiano wakiwa bado wadogo sana(10-16yrs), tena na watu wazima mno.

Tujitahidi kuwafunza watoto wetu, ni kazi kubwa lakini ndio jukumu letu.
 
Mtoto ni mtoto tu. Mtu mzima ukifanya jinai na mtoto, kosa ni lako tu. Kwani ukitegwa ni lazima ukubali? Visingizio vya kij*nga hivyo. Hata huku mitaani tunategwa na malaya lakini tunakaataa na kusimamia maadili.
Mkuu ungekuwa mwalimu wala usingemtukana hivyo, hawa watoto wakati mwingine wanatabia za kutega walimu, kwa mtu asiye mzoefu ni rahisi kuingia mtegoni
 
Sikiliza wimbo wa Shaggy "It wasn't me" utakusaidia Sana..

KILA kitu say it was not you.... Tafuta mshikaji wa kitaa mtoe 50,000# aseme alikuwa anachati naye through your phone..
 
Watu wanakulaumu bure. Mi nikiwa shule nimewashuhudia sana mabinti wanafata walimu na kujilengesha. Huwezi kuwakwepa wote na wengine wanakuja kwa technic za hali ya juu kiasi kuwa hujui unaingia kwenye mtego. Kuwa mwalimu wa kiume hakukufanyi usiwe na mazungumzo na wanafunzi wa kike,sasa utafundishaje? Na katika harakati kama hizo akijisogeza ndo unakuwa mtihani lakini watu wakija wanalaumu mwanaume. Walee mabinti zenu kwa maadili
 
Habarini wadau.

Mimi ni baba wa familia ya mtoto mmoja na mke ambaye tunapendana sana. Pia Mimi ni mwalimu mpya wa shule moja hapa jiji kasoro bahari nina kama miezi mitano (5) hapa shuleni ila naona muda wowote naenda kufukuzwa.

Kisa chenyewe.
Mwezi huu mwanzoni kuna binti wa kidato cha tatu alinifuata ofisini jioni na maswali kadhaa ya somo ninalofundisha. nikamuelekeza kwa muda baadae anavyoondoka akasema anaomba namba yangu akawape wazazi wake pindi watakapomuuliza kwanini amechelewa kurudi home, nilikubali maana sikuona unayaendeleza wowote, usiku WA saa 4 hivi nikapokea message nyingi zikijitambulisha ni yule binti nikachukuliwa kawaida tu na nilimjibu kawaida maana wife alianza kuchukia so nikaacha kuchat.

Ila yule binti hakukoma aliendelea na siku moja usiku alinipigia nikiwa kwenye bia kupunguza mawazo,, alivyonipigia nadhani aligundua nimelewa akaanza kunichombeza ingawa sikuwa nimelewa sana ila nilishindwa mkataa pindi aliponiambia ananipenda maana kilakotu nilijibu sawa mpaka alivyokata simu.. Siku yako Pili asubuhi ndo nikakumbuka kama aliniambia vitu vya ajabu nikajilaumu sana na kabla sijatoka nyumbani kwenda kazini akatuma message yenye maneno ya mahaba sikumjibu.

Baada ya siku kadhaa nikajikuta nachat nae kuhusu mambo ya mahaba, ingawa sikupanga kuonana nae kwa namba yoyote.

MSAADA NINAOTAKA.

juzi usiku nilitumiwa message nyingi kwa namba ngeni nilivyojibu ndo akawa anasema baba ake ameona message amempiga haswa na anampango wa kuja shuleni kesho, wadau Msaada wenu muhimu je nifanyaje Wakuu na nijiteteaje?

Asanteni
Pole mkuu kwa msala huo. Ila usiogope huenda huyo mzazi asifike shuleni we kausha tuu kwanza usikilizie! Ukiona kama kweli amefika shule basi geuza kibao kwamba namba uliyokuwa unachati nayo ni ya x wako au mchepuko /whatever lakini mkatae kabisa huyo mwanafunzi na hiyo namba alitumwa huyo binti kuifuata kwako kwa hiyo we siku zote unajua unachati naye na tunga hapo hapo ana namba mbili nyingine hii(sasa hiyo iwe ya mtu ambaye ushampanga ) ili kuepuka kukiri kosa ni noma.
 
Usitumie neno tunakataa, mnakataa wewe na nani? Kwani hakuna wanaoangukia mikononi mwa hao unaowaita Malaya, by the way huyo unaye muita malaya pia alikuwa mwanafunzi, usije sema umalaya alijifunzia shule, think about it
Mtoto ni mtoto tu. Mtu mzima ukifanya jinai na mtoto, kosa ni lako tu. Kwani ukitegwa ni lazima ukubali. Visingizio vya kij*nga hivyo. Hata huku mitaani tunategwa na malaya lakini tunakaataa na kusimamia maadili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom