Msaada: Sipendi kushauriwa na mwanamke

Msaada: Sipendi kushauriwa na mwanamke

Habari zenu wana JF I hope Eid yenu imeenda poa,

Mimi nina tatizo moja yaani siwezi kushauriwa kitu na mwanamke hata kama nimekosea nakuwa too harsh naona kama kanidharau.

Yaani inshort mimi mwanamke hawezi mnishauri kitu nikamsikiliza hata akinambia tuu jambo namkubalia ila sitekelezi na sio kama siwapendi ni hali ambayo inatokega automatically.

Wakuu hii hali imenisababisha nishindwe kabisa kudumu kwenye mahusiano hii hali sipendi naomba msaada niweze kuwaacha na niache kudharau wanawake jamani naichukia hii hali.
Uko sahihi Mimi hata ushauri wa wanaume siutakagi.
 
Habari zenu wana JF I hope Eid yenu imeenda poa,

Mimi nina tatizo moja yaani siwezi kushauriwa kitu na mwanamke hata kama nimekosea nakuwa too harsh naona kama kanidharau.

Yaani inshort mimi mwanamke hawezi mnishauri kitu nikamsikiliza hata akinambia tuu jambo namkubalia ila sitekelezi na sio kama siwapendi ni hali ambayo inatokega automatically.

Wakuu hii hali imenisababisha nishindwe kabisa kudumu kwenye mahusiano hii hali sipendi naomba msaada niweze kuwaacha na niache kudharau wanawake jamani naichukia hii hali.
Pole ila ilo ni tatizo walilonalo wanaume wengi japo hawatakubali,ila kwakua unejitambua Mungu akufanyie wepesi uwe sawa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom