Ni hapaKanda ya ziwa
wewe lazima unatokea kanda zilee wanawadharau sana wanawake dadek zao!
Hahahahah sitaki kuiba cheo cha mchungaji Wangu gwajima ,,namuachia yeye ndo anajua kuyaamsha madudeeehahahahaahaha amshaaaa dudeeeee
Hahahahah sitaki kuiba cheo cha mchungaji Wangu gwajima ,,namuachia yeye ndo anajua kuyaamsha madudeee
Ni hapa
Hatareee mnokiboko ya wanakijani kibichi
Hatareee mno
Woowooo!!! Na kibard hiki
Kama ulijua vle![]()
Mm huyoo![]()
![]()
![]()
Tena stak kuchelewa
Maana nataman kuona
Kijajo kikintoka kidogo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()








Mamaaaa huo msuto sijui hata itakuaje maana daaahhhh wote niwasutaji kama nnsitaki kuimagine siku yule kessy mbunge asutane na gwajima! au hawa ghasia na gwajima teh teh teh!
Usijali mim na wew tutamalizan kesho sietieeNaona assists zako zimengezeka mnoo baada ya kukuuliza kulikoni Ukuth? Mbona una mkono wa birika hivyo? Nadhani bado unakumbuka.
Usijali mim na wew tutamalizan kesho sietiee
Asante mkuu am ChristianityJifunze kuwa karibu na ibada hasa kanisani na mafundisho yake au hata ukijiunga kwaya itakusaidia kama we ni mkristo islamik pia hivohivo utaepukana na ubabe utakuwa na hofu ya Mungu juu yako hivyo utaweza kuwaheshimu na kuwasikiliza



Hilo ni Pepo LA Mfumo DumeHabari zenu wana Jf I hope eid yenu imeenda poa
Mimi Nina tatizo moja yaani siwezi kushauriwa kitu na mwanamke ata kama nimekosea nakua too harsh naona kama kanidharau
Yaani inshort Mimi mwanamke hawezi mishauri kitu nikamskiliza ata akinambia tuu jambo namkubalia Ila sitekelezi na sio kama siwapendi ni hali ambayo inatokega automatically
Wakuu hii hali imenisababisha nishindwe kabisa kudumu kwenye mahusiano hii hali sipendi naomba msaada niweze kuwacha na niache kudharau wanawake jamani naichukia hii hali.
We mchokoziKanda ya ziwa
Habari zenu wana Jf I hope eid yenu imeenda poa
Mimi Nina tatizo moja yaani siwezi kushauriwa kitu na mwanamke ata kama nimekosea nakua too harsh naona kama kanidharau
Yaani inshort Mimi mwanamke hawezi mishauri kitu nikamskiliza ata akinambia tuu jambo namkubalia Ila sitekelezi na sio kama siwapendi ni hali ambayo inatokega automatically
Wakuu hii hali imenisababisha nishindwe kabisa kudumu kwenye mahusiano hii hali sipendi naomba msaada niweze kuwacha na niache kudharau wanawake jamani naichukia hii hali.
Nilitaka kuongea the same.Madhara ya malezi na mazingira ukiyokulia.