Msaada: Sipendi kushauriwa na mwanamke

Msaada: Sipendi kushauriwa na mwanamke

wewe lazima unatokea kanda zilee wanawadharau sana wanawake dadek zao!
 
Jifunze kuwa karibu na ibada hasa kanisani na mafundisho yake au hata ukijiunga kwaya itakusaidia kama we ni mkristo islamik pia hivohivo utaepukana na ubabe utakuwa na hofu ya Mungu juu yako hivyo utaweza kuwaheshimu na kuwasikiliza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom