Habarini ndugu JF.
Mimi ni kijana ambaye nimemaliza mkataba kwenye shirika ambalo nilkuwa nikifanya kazi. Katika kufuatilia nilijulishwa kuwa kwa mtu mwenye elimu kama yangu "certificate" anaruhusiwa kupata pesa zake zote na sio 33.33%, Hivyo nilijaza fomu zote na kurejesha nikitarajia kwamba nitapokea pesa zangu zote. Lakini matokeo yake wananipa 33.33% (mwezi wa kwanza kupewa ni November 2023).
Hivyo, nimekuja hapa kuomba ushauri nifuate hatua gani ili kuweza kukata rufaa au kupata ushauri wa namna bora ya kushughulikia changamoto yangu.
Ahsanteni
Mimi ni kijana ambaye nimemaliza mkataba kwenye shirika ambalo nilkuwa nikifanya kazi. Katika kufuatilia nilijulishwa kuwa kwa mtu mwenye elimu kama yangu "certificate" anaruhusiwa kupata pesa zake zote na sio 33.33%, Hivyo nilijaza fomu zote na kurejesha nikitarajia kwamba nitapokea pesa zangu zote. Lakini matokeo yake wananipa 33.33% (mwezi wa kwanza kupewa ni November 2023).
Hivyo, nimekuja hapa kuomba ushauri nifuate hatua gani ili kuweza kukata rufaa au kupata ushauri wa namna bora ya kushughulikia changamoto yangu.
Ahsanteni