mputura
Member
- May 20, 2013
- 24
- 49
Habari,
Naomba ushauri kwa anayefahamu namna gani naweza kupata pesa zangu zote NSSF ipo kiasi ni chini ya mill 5 na kazi nimeachishwa hivyo ukifuata utaratibu wa kawaida unaambiwa kuna kikokotoo unapewa 33℅ ya gross sallary yako ndan ya miez sita kisha unasubir miez 18 ndio upate yote.
Sasa nahitaji niongeze kwenye mtaji wa biashara hyo pesa yote nifanyaje ili niweze kupata pesa yangu yote,?elimu yangu bachelor.
Asanteni nipo hapa napitia comment zenu wanajopo
Naomba ushauri kwa anayefahamu namna gani naweza kupata pesa zangu zote NSSF ipo kiasi ni chini ya mill 5 na kazi nimeachishwa hivyo ukifuata utaratibu wa kawaida unaambiwa kuna kikokotoo unapewa 33℅ ya gross sallary yako ndan ya miez sita kisha unasubir miez 18 ndio upate yote.
Sasa nahitaji niongeze kwenye mtaji wa biashara hyo pesa yote nifanyaje ili niweze kupata pesa yangu yote,?elimu yangu bachelor.
Asanteni nipo hapa napitia comment zenu wanajopo