Mkuu dini zinawapeleka pabayaZa kazi gani acha uchawi wewe piga maombi kwa Bwana Yesu kila kitu kitaenda vizuri
Amen... kwa imani tuuZa kazi gani acha uchawi wewe piga maombi kwa Bwana Yesu kila kitu kitaenda vizuri
Kwa maana hiyo akachume ndulele ikulu?Hapo Dar, kuna ofisi iko karibu na Wizara ya Elimu,, Chuo cha Utumishi wa Umma, Haki za Binadamu, Wizara ya fedha ya ZNZ, sogea hapo kwenye ka jigeti gonga humo wakufungulie uwaambie shida yako watakufungulia uchume kadri upendavyo!
Kama ni kusafishia jino, tumia majivu ya jiko la mkaa...Nataka nisafishe jino
Je nyanya chungu inaweza?
Hapo ni ndulele ndio hutumika sio nyanya chunguNataka nisafishe jino
Je nyanya chungu inaweza?
kila jambo na mahala pake...Za kazi gani acha uchawi wewe piga maombi kwa Bwana Yesu kila kitu kitaenda vizuri
Zipo kweli kiongozi?Hata pale ndani ya geti la mbagala jeshini
Nia nzuri tu na sio mgangadar vijijini utapata
za nini mkuu usikute umetumwa na mganga?
Ndio nataka kwaajili hiyoDawa ya jino sio Mambo ya kiganga ni dawa nzuri sana ya jino linaloanza kutoboka