Hilo kontena ataliweka kwa hewa?Nunua kontena li-modify iwe nyumba.
Hapo imefika hata milioni 3?
Kweli kama kiwanja anacho kwa baadhi ya maeneoUnajenga Nyumba room mbili na sebule, choo cha ndani na njee, gipsum, tails na rangi. Ilimladi uwe na Kiwanja ambacho ni flat plot.
Nipe Kazi ya ufundi mkuu.
Huo utani 10m ni hela nyingi anajenga bila shida vyumba viwili na sebuleKijijini unaweza ukajenga ya udongo ya chumba kimoja na sebule ukafikia hadi stage ya kupaua kwa nyasi, ila hufanyi finishing yeyote
Habar zenu wana jf naombeni msaada kimawazo na ushauri mm nina 10 mil nataka kuzielekeza kwenye ujenzi angalau kajumba kadogo na mm niwe na kwangu. Hiyo pesa niliyonayo je inaweza tosha naombeni msaada tafadhari
We utakuwa unaleta utani ila jenga ndo utaona kama hizo 10ml si chochoteHapo imefika hata milioni 3?
tafuta 30mHabar zenu wana jf naombeni msaada kimawazo na ushauri mm nina 10 mil nataka kuzielekeza kwenye ujenzi angalau kajumba kadogo na mm niwe na kwangu. Hiyo pesa niliyonayo je inaweza tosha naombeni msaada tafadhari
Umeshawahi kujenga nyumba ya hata chumna kimoja ukafanya finishing mpaka mwisho?Huo utani 10m ni hela nyingi anajenga bila shida vyumba viwili na sebule
Hali ya sasa hivi mafundi wengi hawana kazi unakuta fundi ana maliza hadi miezi miwili au mitatu hana kazi..na usijaribu kbs kupatana na fundi ujenzi wa nyumba nzima nakwambia utalia..arf huyo uliyepatana nae akiwa site kazi yake yeye huwa eti kusimamia analeta mafundi wengine kabisa yani hapo katika ujenzi huku tunaita kuuziana kazi..kwa hiyo kama kakwambia gharama ni milioni 4.. Yeye atawauzia hao kujenga kwa tofari na hao mara nyingi wana wauzia shilingi 200 hadi 250.. Kwa hiyo yeye kwenye kila tofari ana uhakika wa kubaki na shilingi mia..bado cha juu alicho kupiga..yani ukija kumpa na hela ya material akanunue yeye ndo utalia zaidi...na uwe makini wakati wa ujenzi wasafishe msingi vizuri chini wakati wana jenga..wengine huwa wana shindwa kupata level wana force kuweka dongo chini arf tofari juu baada ya mda mvua zikianza kunyesha madongo yana sinyaa tofari inashuka chini ndo mwanzo wa nyumba kupata nyufa za kutosha..nyumba msingi muwe makini sana na mafundi kwenye msingi..mkikosea msingi huku juu hata mrembe vipi..mtakuwa na kazi ya kuziba viraka tu..kila raheli[emoji120]
Khaaa [emoji2] [emoji2] [emoji2]Afu chini afunge matairi ya trekta,asee ni ubunifu mkuu maana si Tanesco wala Dawasco(kama Dar) wataenda kudai bili zao,lazima wasahau tu wakidhani ni Gari LA mizigo[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Milioni kumi inatosha aisee ila finishing haifikiHabar zenu wana jf naombeni msaada kimawazo na ushauri mm nina 10 mil nataka kuzielekeza kwenye ujenzi angalau kajumba kadogo na mm niwe na kwangu. Hiyo pesa niliyonayo je inaweza tosha naombeni msaada tafadhari
Mkuu Chiwa tafadhali naiomba nami pia hyo ramani kama hutojalihata hiyo niliyokutumia ni nyumba ndogo (lakini sio kama wanavyofikiri yaani ni nyumba ya uwani.
nilitumia hela nyingi kumlipa choraji kwa wakati ule na mshahara wangu ulikuwa 120,000/- na ramani nililipia 400,000/- kwa zote mbili.
Mkuu Chiwa kama hutojali naiomba hiyo ramani na Mimi pia!!hata hiyo niliyokutumia ni nyumba ndogo (lakini sio kama wanavyofikiri yaani ni nyumba ya uwani.
nilitumia hela nyingi kumlipa choraji kwa wakati ule na mshahara wangu ulikuwa 120,000/- na ramani nililipia 400,000/- kwa zote mbili.