Hahaha haha hahha Ebu toa ushauri acha masihara mkuu.Afu chini afunge matairi ya trekta,asee ni ubunifu mkuu maana si Tanesco wala Dawasco(kama Dar) wataenda kudai bili zao,lazima wasahau tu wakidhani ni Gari LA mizigo[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kweli kabisa kama ana kiwanja we weka msingi wa mkubwa afu pandisha hata chumba mbili ulihamia utaona aibu na unalizia chapwe anza kujenga sio pesa ila wito.
mimi nilianza ujenzi nikiwa na kiasi kidogo sana cha pesa nikajenga msingi na nikapandisha kozi nne nikakaa miaka minne ndipo nikaendelea lakini kwa sababu siko dar vinginevyo ningeshahamia.
pia babu yang baada ya kusumbuliwa na kodi mjini aliamia nyumba imejengwa upande ndo maana nakwambia we anza fedha zingine zitakuja wakati ukiendelea.
Ofcourse hilo linawezekana, sema standard ndio itasumbuajf bhana hahaha sehemu salama ya kukatisha tamaaa mi najua room moja inagharim milion moja
napita tu isije ikawa kesi
Unajengea ramani ya mwenzio? Acha ubahili ndugu tafuta mtaalamu aende site kwanza ndo ajengeMkuu Chiwa tafadhali naiomba nami pia hyo ramani kama hutojali
ipo ofisini mpaka j3Mkuu Chiwa kama hutojali naiomba hiyo ramani na Mimi pia!!
sorry nilikuwa bush ndo saa hizi naingia humu hivyo j3Mkuu Chiwa kama hutojali naiomba hiyo ramani na Mimi pia!!
watu mna dharau, utadhani huku mitaani tunakoishi hizi nyumba tulizopanga ni za milioni 100.Labda banda la chooni uani.
Hata mjini anaweza kujenga kibanda (siyo nyumba) cha vyumba viwili na sebule , ili mradi kiwanja awe anacho na kiko flat!!!Labda kijijini
Inayotosha ni ngapi? Watu wamezeeka bila kujenga kwa sababu kila wakipata pesa wanaona kuwa hazitoshi hivyo kuishia kuchangia vikao vya harisi na send off na kununua vigari "baby seater" (IST, VITS, etc) na kununua simu kubwa huku wakijiunga kwa jero!!!!Mkuu haitoshi
Huo ni ushauri mzuri. Ujanja ni kuanza kujenga kwa kiasi chochote ulichonacho!! Hapo utakuwa umepata mahali pa kuelekeza pesa zako utakazokuwa unapata. Tafuta ramani ambayo unaweza kuijenga kwa awamu. Unaweza kuinua chumba na sebule halafu ukahamia huku ujenzi unaendelea! Wanaosubiri wapate pesa nyingi ndio waanze kujenga huwa wanafia kwenye nyumba za kupanga!!Hiyo hela ni ndogo sana, huwezi kujenga nyumba labda kama unajenga kijijini. Ushauri wangu endelea kupiga vibarua uongeze zaidi, ila sasa hizo milioni kumi ulizo nazo anza ujenzi usikae nazo unaweza kuzitumia kunyume na matumizi ya ujenzi.
Nyumba ni boma kwanza na kwenye boma mtu anaishi bila shida ili mradi maji na umeme uingie. Mambo mengine ya finishing taratibu!!!Madirisha,grills,vyoo/bafu,mashimo ya maji taka,plumbing na fundi wake,umeme na vifaa vyake na fundi wake,gypsum na ufundi wake,tiles,makabati ya jikoni. Hebu nipe gharama ya hivi vitu maanake wengi mnaweka gharama ya boma ambayo kwenye ujenzi ndio kitu rahisi. Nyumba nyingi zinakwama kwenye finishing. Kama mnazungumzia boma 10m inatosha.
Watu wanadharau sana,,hyo pesa inatosha hasa ukiwa tayali na kiwanja,,watu mna dharau, utadhani huku mitaani tunakoishi hizi nyumba tulizopanga ni za milioni 100.
ukitazama comment za humu utadhani sote tunaishi marekani.
hahahahhaa.
10M sio pesa ya kubeza.
Hahahah!Inayotosha ni ngapi? Watu wamezeeka bila kujenga kwa sababu kila wakipata pesa wanaona kuwa hazitoshi hivyo kuishia kuchangia vikao vya harisi na send off na kununua vigari "baby seater" (IST, VITS, etc) na kununua simu kubwa huku wakijiunga kwa jero!!!!