Msaada: Nina MB's za kutosha kwenye smartphone yangu, ila mobile data haifanyi kazi

Balqior

JF-Expert Member
Jun 8, 2021
1,709
5,697
Habarini

Natumia simu ya itel A05 mpya tu haina hata mwaka, laini ya voda nayo ni mpya haina mwaka, hili tatizo limeanza juzi, mb nakuwa nazo tena zaidi ya 800, ila nikiwasha mobile data sipati chochote, sasa najiuliza hili tatizo ni kwangu kwenye simu yangu, au ni watoa huduma wa voda Wana matatizo.

Cha ajabu hili tatizo linakuja na kupotea lenyewe bila kulitaftia ufumbuzi, saa ingine mobile data inafanya kazi, saa ingine haifanyi kazi, hata kama una MB, sasa inakuwa ni kero maana mb unakuwa nazo hlf haziko reliable, na mda wa kifurushi unaendelea kuisha.

Hapa natumia wifi ya mtu mwingine ku-browse jf, waliokwisha kutana na hili tatizo ufumbuzi wake ni nini?
 
Habarini

Natumia simu ya itel A05 mpya tu haina hata mwaka, laini ya voda nayo ni mpya haina mwaka, hili tatizo limeanza juzi, mb nakuwa nazo tena zaidi ya 800...
Ni laini ngapi mkuu? na yale masuala yaku-switch line katika mobile data umeyazingatia tayari?
 
Hilo ni suala la data usage , nishafika limit, fanya mapango wa kuangalia data limit then tuongeze ,itaendelea kufanyabkazi
 
Habarini

Natumia simu ya itel A05 mpya tu haina hata mwaka, laini ya voda nayo ni mpya haina mwaka, hili tatizo limeanza juzi, mb nakuwa nazo tena zaidi ya 800, ila nikiwasha mobile data sipati chochote, sasa najiuliza hili tatizo ni kwangu kwenye simu yangu, au ni watoa huduma wa voda Wana matatizo.

Cha ajabu hili tatizo linakuja na kupotea lenyewe bila kulitaftia ufumbuzi, saa ingine mobile data inafanya kazi, saa ingine haifanyi kazi, hata kama una MB, sasa inakuwa ni kero maana mb unakuwa nazo hlf haziko reliable, na mda wa kifurushi unaendelea kuisha.

Hapa natumia wifi ya mtu mwingine ku-browse jf, waliokwisha kutana na hili tatizo ufumbuzi wake ni nini?
Fanya setting upya kwenye Aces Point Name ( APN) kulingana na mtandao wa sim unaotumia
 
Back
Top Bottom