GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 5,251
- 11,598
Wasaalam,
Naomba kupewa ufafanuzi (wakitaalamu) kidogo.
Nimepatwa na Changamoto kwenye matumizi yangu ya Simu hasa upande wa internet.
Siku zote huwa nikitumia internet, huwa napata kwa 4G. Vizuri tuu.
Shida imekuja siku kama tatu kufikia leo, Nikiwa niko Chumbani kwangu. Nikiwasha data Network inasoma E" (Edge) badala ya ile 4G ya siku zote..
Ila nikitoka Chumbani, mita chache tuu naanza kuipata 4G japo kwa shida kidogo.
Na kama mnavyojua kwa zama hizi "E" haina nguvu kabisa hata ya kuruhusu sms za whatsaap. Kwahiyo imekuwa changamoto.
Nimejaribu kuangalia kwenye network settings za simu, kila kitu kiko sawa, kwa ufahamu wangu.
Nimewasiliana na internet provider(Tigo), hawana msaada wowote.
Naomba msaada, kwanza nini nifanye ile hali irudi kama kawaida
na pili tatizo ni nin? kama ni network kushuka, kwanini ishuke Chumbani kwangu tuu, ila nikizunguka dirishani network ipo?
Muhimu.
Natumia smartphone
Laini ni Tigo.
Niko Mjini.
Nina bando angalau la kutosha.
Asanteni na Karibuni..
Naomba kupewa ufafanuzi (wakitaalamu) kidogo.
Nimepatwa na Changamoto kwenye matumizi yangu ya Simu hasa upande wa internet.
Siku zote huwa nikitumia internet, huwa napata kwa 4G. Vizuri tuu.
Shida imekuja siku kama tatu kufikia leo, Nikiwa niko Chumbani kwangu. Nikiwasha data Network inasoma E" (Edge) badala ya ile 4G ya siku zote..
Ila nikitoka Chumbani, mita chache tuu naanza kuipata 4G japo kwa shida kidogo.
Na kama mnavyojua kwa zama hizi "E" haina nguvu kabisa hata ya kuruhusu sms za whatsaap. Kwahiyo imekuwa changamoto.
Nimejaribu kuangalia kwenye network settings za simu, kila kitu kiko sawa, kwa ufahamu wangu.
Nimewasiliana na internet provider(Tigo), hawana msaada wowote.
Naomba msaada, kwanza nini nifanye ile hali irudi kama kawaida
na pili tatizo ni nin? kama ni network kushuka, kwanini ishuke Chumbani kwangu tuu, ila nikizunguka dirishani network ipo?
Muhimu.
Natumia smartphone
Laini ni Tigo.
Niko Mjini.
Nina bando angalau la kutosha.
Asanteni na Karibuni..