Signal za data kuondoka MB zikiwa under 100 halotel shida nini?

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
1,587
1,136
Natumia TECNO spark 7 tatizo hili ni sugu Katika simu yangu mb zikibaki chini ya 100 nikiwasha data signal za data zinawaka na kupotea hivyo kukosa kufanya chochote kwenye simu yangu inayohusianana na internet. Nawapigia halotel wanajibu niongeze salio. Mbona tigo hakuna huu ujinga? Hadi mb. Zero? Msaada kwa wale wanaofahamu.
 
Turn on data usage when roaming.
Sio wewe tu ilinitokea kwenye google pixel Sasa inanitokea kwenye Infinix
 
Natumia TECNO spark 7 tatizo hili ni sugu Katika simu yangu mb zikibaki chini ya 100 nikiwasha data signal za data zinawaka na kupotea hivyo kukosa kufanya chochote kwenye simu yangu inayohusianana na internet. Nawapigia halotel wanajibu niongeze salio. Mbona tigo hakuna huu ujinga? Hadi mb. Zero? Msaada kwa wale wanaofahamu.

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Mkuu hii sio kwako tu. Mimi natumia SPARK 10 na hili tatizo halikuanzia simu hii tu bali yaonekana no utaratibu wa hao network provider. Ikifika 100MB Anza kufikiria kununua kifurushi kingine. Huwa nakereka sana
Nimeamua kuhamia AIRTEL kwa upande wa INTERNET SERVICE
 
Hili tatzo hata mimi linanisumbua sana kwenye simu na natumia halotel data zinajizima na kupotea tu nilibadilisha hadi laini wapi
Natumia TECNO spark 7 tatizo hili ni sugu Katika simu yangu mb zikibaki chini ya 100 nikiwasha data signal za data zinawaka na kupotea hivyo kukosa kufanya chochote kwenye simu yangu inayohusianana na internet. Nawapigia halotel wanajibu niongeze salio. Mbona tigo hakuna huu ujinga? Hadi mb. Zero? Msaada kwa wale wanaofahamu.

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Natumia TECNO spark 7 tatizo hili ni sugu Katika simu yangu mb zikibaki chini ya 100 nikiwasha data signal za data zinawaka na kupotea hivyo kukosa kufanya chochote kwenye simu yangu inayohusianana na internet. Nawapigia halotel wanajibu niongeze salio. Mbona tigo hakuna huu ujinga? Hadi mb. Zero? Msaada kwa wale wanaofahamu.

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Hii inatokea sana kwa mitandao yote inayoishia na tel kwenye jina, mimi natumia wenzao na hao shida ni kama hiyo unayopata
 
Mkuu hii sio kwako tu. Mimi natumia SPARK 10 na hili tatizo halikuanzia simu hii tu bali yaonekana no utaratibu wa hao network provider. Ikifika 100MB Anza kufikiria kununua kifurushi kingine. Huwa nakereka sana
Nimeamua kuhamia AIRTEL kwa upande wa INTERNET SERVICE
Yani wanakera kinyama eti" mbona mb 80 ndogo sana izo ongeza salio" sauti na muhudumu iyo nikawaza uyu manzi anaona kila mtu ana pesa eeh.

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hii sio kwako tu. Mimi natumia SPARK 10 na hili tatizo halikuanzia simu hii tu bali yaonekana no utaratibu wa hao network provider. Ikifika 100MB Anza kufikiria kununua kifurushi kingine. Huwa nakereka sana
Nimeamua kuhamia AIRTEL kwa upande wa INTERNET SERVICE
Nafikiri watakuwa wanafikilia labda Incase Kuna Hela kwenye salio la kawaida lisitumike
 
Mi huwa napokea sms ya kwanza inasema umetunia 75% ya bando
Kisha nikitumia kidogo inafuata sms ya umemaliza data zako na siwezi tena kuchat
Nikiangalia salio nakuta mb0

Nikizima na kuwasha data nikiangalia salio nakuta kuna mb 40 hadi mb 80
Nikiwasha data nazitumia hadi zinakwisha
 
Natumia TECNO spark 7 tatizo hili ni sugu Katika simu yangu mb zikibaki chini ya 100 nikiwasha data signal za data zinawaka na kupotea hivyo kukosa kufanya chochote kwenye simu yangu inayohusianana na internet. Nawapigia halotel wanajibu niongeze salio. Mbona tigo hakuna huu ujinga? Hadi mb. Zero? Msaada kwa wale wanaofahamu.
Hata ndugu zako tiGO na TTCL ukibakiwa na MB 10-20 au chini ya hapo hutoboi hata kufungua google.com,,,Voda na wengine hawana hii limit
 
Back
Top Bottom