Msaada: Nimetengwa kijamii

Msaada: Nimetengwa kijamii

Tunajifunza mengi kutoka kwao.
Mimi pia nachokumbana nacho sijui nimwamini nani, nisiowaamini hao wapo verified tatizo kujua mtu wa maana wa kwenda nae sasa ni shida. Nimezungukwa sana na watu wanafiki... wanaong'ata na kupuliza kama sijakosea.
Leo yupo nawe kesho anaongea mengine...
Bwana Buddha alikuwa Uhindini huko zamani sana. Sasa uhindini kulikuwa na dinimaelfu kwa maelfu,kila mtu anahubiri dini yake.

Watu wakamuuliza, Bwana Buddha, wewe una umakini wa hali ya juu, tusaidie.Tumechanganyikiwa.Kila mtu anahubiri dini yake, dini zina mahubiri tofauti. Hatujui cha kuamini kipi na cha kuacha kipi.

Akawaambia,usiamini kitu kwa sababu kimesemwa na kuhani mashuhuri, wala kwa sababu kinakubaliwa na wengi, wala kwa sababu kimeandikwa katika misahafu mashuhuri,walakwa sababu umeambiwa na unaowaheshimu walimu na wazee. Usiamini kwa sababu kitu ni utamaduni wa muda mrefu.Usiamini hata ninachokuambia mimi. Kipime mwenyewe kwa mawazo yako, kwa weledi. Kwa akili na uchunguzi."
 
Bwana Buddha alikuwa Uhindini huko zamani sana. Sasa uhindini kulikuwa na dinimaelfu kwa maelfu,kila mtu anahubiri dini yake.

Watu wakamuuliza, Bwana Buddha, wewe una umakini wa hali ya juu, tusaidie.Tumechanganyikiwa.Kila mtu anahubiri dini yake, dini zina mahubiri tofauti. Hatujui cha kuamini kipi na cha kuacha kipi.

Akawaambia,usiamini kitu kwa sababu kimesemwa na kuhani mashuhuri, wala kwa sababu kinakubaliwa na wengi, wala kwa sababu kimeandikwa katika misahafu mashuhuri,walakwa sababu umeambiwa na unaowaheshimu walimu na wazee. Usiamini kwa sababu kitu ni utamaduni wa muda mrefu.Usiamini hata ninachokuambia mimi. Kipime mwenyewe kwa mawazo yako, kwa weledi. Kwa akili na uchunguzi."
Imetulia hiyo mkuu.
Kibongo bongo usiposikiliza ya wakubwa unaonekana una dharau, much know n.k na kwa namna hii wengi wamekua brainwashed sio mchezo.
Kwa sababu usiposikiliza watakosa wajinga so kinachofata ni kuwawekea vikwazo tuu kila idara.
Wahenga wanasema wajinga ndo kipato chetu.. hawakukosea
 
Watu bwana....

Sasa walivyokutenga....

Jua linatoka au halitoki???

Oksijen haipiti puani kwako?????

Masaa ya mchana yamebadilika???

Mwezi hauandami tena?

Maji kupwa nammaji kujaa hayafanyiki tena????

Kwa nini ukise raha kwa sababu ya binadamu?
Kwa nini furaha yako uiweke chini ya mtu mwingine???

Kuwa busy saka maisha tafuta hela.....na kwenye maisha anayeshikana na wewe ndio ndugu yako..... anayekujali kwenye dhiki na maradhi.ndiye ndugu yako......

Maisha ya kuahangaika na watu wasiokuthamini yako wapi?
 
Watu bwana....

Sasa walivyokutenga....

Jua linatoka au halitoki???

Oksijen haipiti puani kwako?????

Masaa ya mchana yamebadilika???

Mwezi hauandami tena?

Maji kupwa nammaji kujaa hayafanyiki tena????

Kwa nini ukise raha kwa sababu ya binadamu?
Kwa nini furaha yako uiweke chini ya mtu mwingine???

Kuwa busy saka maisha tafuta hela.....na kwenye maisha anayeshikana na wewe ndio ndugu yako..... anayekujali kwenye dhiki na maradhi.ndiye ndugu yako......

Maisha ya kuahangaika na watu wasiokuthamini yako wapi?
Nashukuru mkuu nimepata kitu.
 
Habari za wasaa huu wandugu,

Nahisi siko vizuri kisaikolojia naombeni msaada nilitengwa kijamii.Sipati ushirikiano kutoka kwa ndugu, marafiki zangu na jamii yangu kwa ujumla.

Hali hii imenifanya niogope kujichanganya kwa kuhofia kukosa ushirikiano.
Hakuna mawasiliano kati yangu mimi na ndugu zangu nikipiga hawapokei wala hawajibu SMS.I am tortured i need help.

Nimeshindwa hata kusoma na kupata mafanikio sababu muda wote nipo mwenyewe tuu nyumbani. Nawaza hivi nikiumwa ghafla hapa nani atanisaidia?

Nilimgundua mbaya wangu alie block mawasiliano kati yangu mimi na ndugu zangu hawa nikaachana nae sina ubavu wa kumwadhibu.

Mimi kimsingi ni chadema na wengi walitamani niwe ccm ila sitaki hivyo basi sina mda na siasa za Tanzania.

Note: Mimi sina baya lolote nililofanya so msinihisi vibaya bali ni hivo.
HAMA CHAMA
 
Tafuta pesa utapewa ushirikiano na kiilaaa aloyekutenga, utakua hadi unachagua na wa kufanya nae kolabo.
 
Mkuu mimi nilikua vizuri na jamaa zangu wala sina tatizo ila ni mambo makubwa siwezi kuyaweka hapa.
Kwa nilivyojieleza hapo waungwana natumai mtanielewa.
Siwezi kutajia mhusika kabisa.
Haina maana umtaje mhusika kwa jina, inawezekana uliyekuwa nae kwenye mahusiano ya uchumba au ndoa, au mambo ya kisiasa n.k..
Funguka usaidiwe vzur kaka
 
basi hamia ccm u
Habari za wasaa huu wandugu,

Nahisi siko vizuri kisaikolojia naombeni msaada nilitengwa kijamii.Sipati ushirikiano kutoka kwa ndugu, marafiki zangu na jamii yangu kwa ujumla.

Hali hii imenifanya niogope kujichanganya kwa kuhofia kukosa ushirikiano.
Hakuna mawasiliano kati yangu mimi na ndugu zangu nikipiga hawapokei wala hawajibu SMS.I am tortured i need help.

Nimeshindwa hata kusoma na kupata mafanikio sababu muda wote nipo mwenyewe tuu nyumbani. Nawaza hivi nikiumwa ghafla hapa nani atanisaidia?

Nilimgundua mbaya wangu alie block mawasiliano kati yangu mimi na ndugu zangu hawa nikaachana nae sina ubavu wa kumwadhibu.

Mimi kimsingi ni chadema na wengi walitamani niwe ccm ila sitaki hivyo basi sina mda na siasa za Tanzania.

Note: Mimi sina baya lolote nililofanya so msinihisi vibaya bali ni hivo.
basi hamia ccm usitengwe
 
Haina maana umtaje mhusika kwa jina, inawezekana uliyekuwa nae kwenye mahusiano ya uchumba au ndoa, au mambo ya kisiasa n.k..
Funguka usaidiwe vzur kaka
Mkuu ni mkakati mzito mno, wote niliokua na connection nao walikua kwnye black list. Yani ilifikia stage wanangu toka primary school, kitaa na maeneo mengine walikua hawaonyeshi ushirikiano nikaja kugundua ni hawa bwana wakubwa.

Niliuma mno ila sio mbaya maisha ya duniani tunapita swala la muhimu kujiwekea hazina mbinguni na ndo nilichobakiza hapa duniani sasa.
 
Wakati mwingine usioneshe mapenzi yako ya kisiasa Kwa ndugu zako, huwezi kujua hicho wanachopenda kiliwatoa wapi.
 
basi hamia ccm u

basi hamia ccm usitengwe
Siwezi fanya hayo mambo yani nianze tena kusimama against wananchi? how..
Ikiwa mmm nillikua napinga serikali yao nitawezaje kuwa nao tena? Huo utakua unafiki mkubwa mno hata shetani atapigwa butwaa...
Real never sitaweza fanya hiko kitu maishani..
Halafu wengu wanataka wakutumie wafanikishe mambo mwishowe wanaku dump sababu wanajua sio mapenzi yako kuwa ccm... "Political prostitute"
Mara nyingi wakishanusa kuna mtu atakuja kuwa mpinzani wa kweli wanaanza kumharibu mdogo mdogo toka kwenye grassroot au kama vipi wanampoteza kabisa... Na ikitokea ukipingana nao yatakutokea mabaya kama ilivyo kwangu sasa

Embu fikiria nimetengwa na jamii yangu, mawasiliano yangu ya simu na social networks zangu zimekua exposed public, kila napotaka kutafuta rizki panatiwa fitna au uchonganishi mradi nisifanikiwe, nikalazimika kuhama chuo bado mambo yale yale yanaendelea...
Hapo unaweza pata taswira kidogo.
 
Wakati mwingine usioneshe mapenzi yako ya kisiasa Kwa ndugu zako, huwezi kujua hicho wanachopenda kiliwatoa wapi.
Nishajifunza kwa mkuu kuna mdau kaniambia hapo nyuma ahivo hivo.
Mimi siwezi kuwa mtumwa kufanya kazi za uhaini tena sehemu nisiyotaka...
Nimeona niwe neutral nisishiriki mambo ya kisiasa kabisa ili kuepusha ugomvi na watu maana najua nikianza harakati kwa jinsi hiyo taasisi inavyonichukia sitakawia hata sekunde.

Wakishaona umefahamu mchezo na wao hukudhibiti kama ilivyo sasa.
 
Mkuu ni mkakati mzito mno, wote niliokua na connection nao walikua kwnye black list. Yani ilifikia stage wanangu toka primary school, kitaa na maeneo mengine walikua hawaonyeshi ushirikiano nikaja kugundua ni hawa bwana wakubwa.

Niliuma mno ila sio mbaya maisha ya duniani tunapita swala la muhimu kujiwekea hazina mbinguni na ndo nilichobakiza hapa duniani sasa.
Pole sana...
 
Habari za wasaa huu wandugu,

Nahisi siko vizuri kisaikolojia naombeni msaada nilitengwa kijamii.Sipati ushirikiano kutoka kwa ndugu, marafiki zangu na jamii yangu kwa ujumla.

Hali hii imenifanya niogope kujichanganya kwa kuhofia kukosa ushirikiano.
Hakuna mawasiliano kati yangu mimi na ndugu zangu nikipiga hawapokei wala hawajibu SMS.I am tortured i need help.

Nimeshindwa hata kusoma na kupata mafanikio sababu muda wote nipo mwenyewe tuu nyumbani. Nawaza hivi nikiumwa ghafla hapa nani atanisaidia?

Nilimgundua mbaya wangu alie block mawasiliano kati yangu mimi na ndugu zangu hawa nikaachana nae sina ubavu wa kumwadhibu.

Mimi kimsingi ni chadema na wengi walitamani niwe ccm ila sitaki hivyo basi sina mda na siasa za Tanzania.

Note: Mimi sina baya lolote nililofanya so msinihisi vibaya bali ni hivo.
Wana haki wakutenge. Mtu na akili yako unakuwaje CHADEMA ?
 
Back
Top Bottom