Ulitaka niitumie kuminya upinzani au?...Wana haki wakutenge. Mtu na akili yako unakuwaje CHADEMA ?
Namtegemea Mungu mkuu siwezi weka tumaini langu kwa binadamu yeyote yule...Mbona hakuna shida mkuu, kama vipi badili mazingira, maisha bila ndugu yanawezekana
Umejibu vema, ishi maisha uyapendao wewe, kama wanakuzibia mianya ya kiuchumi hama eneo hilo na familia yakoNamtegemea Mungu mkuu siwezi weka tumaini langu kwa binadamu yeyote yule...
Ubarikiwe mkuu wanitia sana moyoUmejibu vema, ishi maisha uyapendao wewe, kama wanakuzibia mianya ya kiuchumi hama eneo hilo na familia yako
Ningefaidika kuungana na hao wauaji au?Nenda kwa mbowe ukamshitakie otherwise kubaliana na nduguzo maisha yaendelee..Point to note.Huko chadema umenufaika nn?.all in all politics = ****'n game
Sikuwahi kuwa huko wala siwezi kwenda huko. Kwani hamjui au makusudi tuu?Rudi CCM
KICHWA CHAKO KINA MATOBO! KWANI NA HIYO NI SHIDAHabari za wasaa huu wandugu,
Nahisi siko vizuri kisaikolojia naombeni msaada nilitengwa kijamii.Sipati ushirikiano kutoka kwa ndugu, marafiki zangu na jamii yangu kwa ujumla.
Hali hii imenifanya niogope kujichanganya kwa kuhofia kukosa ushirikiano.
Hakuna mawasiliano kati yangu mimi na ndugu zangu nikipiga hawapokei wala hawajibu SMS.I am tortured i need help.
Nimeshindwa hata kusoma na kupata mafanikio sababu muda wote nipo mwenyewe tuu nyumbani. Nawaza hivi nikiumwa ghafla hapa nani atanisaidia?
Nilimgundua mbaya wangu alie block mawasiliano kati yangu mimi na ndugu zangu hawa nikaachana nae sina ubavu wa kumwadhibu.
Mimi kimsingi ni chadema na wengi walitamani niwe ccm ila sitaki hivyo basi sina mda na siasa za Tanzania.
Note: Mimi sina baya lolote nililofanya so msinihisi vibaya bali ni hivo.
Asante mkuu japo umetumia lugha ya ukali ila nimekuelewa, Ubarikiwe. Nafarijika sana napokutana na wenzangu wenye hali kama yangu kwa kweli.TAFUTA HELA.
PUMBAVU ZAKO
ACHA KUAMINI KATIKA NDUGU, MARAFIKI, NA JAMAA.
PAMBANA MWENYEWE.
Mimi mwenyewe nimetengwa. Ila sijali.
Namtegemea mungu.
Ukiwa na dharau utaishi miaka mingi.
Kuwa chadema.Sema kwanza chanzo cha kutengwa...lasivyo na sisi wana jamiiforums tuta kutenga kwa kushindwa kutwambia ukweli...
Kwako ww yawezekana isiwe shida na nakupongeza maana ni uwezo wako binafsi. Kwa uwezo wangu huu ni kikwazo sana maana kinanirudisha nyuma kimaishaKICHWA CHAKO KINA MATOBO! KWANI NA HIYO NI SHIDA
Usijali. Najua unavyoumia. Ndo maana nimetumia hyo lugha.kukupa ujasiri.Asante mkuu japo umetumia lugha ya ukali ila nimekuelewa, Ubarikiwe. Nafarijika sana napokutana na wenzangu wenye hali kama yangu kwa kweli.
Mkuu tuko pamoja mimi pia sitofautiani na wewe.Usijali. Najua unavyoumia. Ndo maana nimetumia hyo lugha.kukupa ujasiri.
Kaza moyo.
Hata Mimi uwa kuna wakati naumia Sana moyoni. Lakini nabaki na misimamo yangu.
Ujue Mimi sipendi kuburuzwa na mkubwa wala mtoto. Na Mara nyingi uwa nasimamia misimamo yangu hata kama nitapingana na ndugu zangu wote.
Na Mimi nimetengwa sababu ya MISIMAMO YANGU MIKALI.
Nimeshafunguka mkuu pitia comment ya 32Funguka mkuu upate msaada zaidi,unavyo fichaficha hivyo kama ni ugonjwa utaponaje!???