Msaada: Nimetengwa kijamii

Msaada: Nimetengwa kijamii

Nenda kwa mbowe ukamshitakie otherwise kubaliana na nduguzo maisha yaendelee..Point to note.Huko chadema umenufaika nn?.all in all politics = ***'n game
 
Mbona hakuna shida mkuu, kama vipi badili mazingira, maisha bila ndugu yanawezekana
 
Nenda kwa mbowe ukamshitakie otherwise kubaliana na nduguzo maisha yaendelee..Point to note.Huko chadema umenufaika nn?.all in all politics = ****'n game
Ningefaidika kuungana na hao wauaji au?
 
Habari za wasaa huu wandugu,

Nahisi siko vizuri kisaikolojia naombeni msaada nilitengwa kijamii.Sipati ushirikiano kutoka kwa ndugu, marafiki zangu na jamii yangu kwa ujumla.

Hali hii imenifanya niogope kujichanganya kwa kuhofia kukosa ushirikiano.
Hakuna mawasiliano kati yangu mimi na ndugu zangu nikipiga hawapokei wala hawajibu SMS.I am tortured i need help.

Nimeshindwa hata kusoma na kupata mafanikio sababu muda wote nipo mwenyewe tuu nyumbani. Nawaza hivi nikiumwa ghafla hapa nani atanisaidia?

Nilimgundua mbaya wangu alie block mawasiliano kati yangu mimi na ndugu zangu hawa nikaachana nae sina ubavu wa kumwadhibu.

Mimi kimsingi ni chadema na wengi walitamani niwe ccm ila sitaki hivyo basi sina mda na siasa za Tanzania.

Note: Mimi sina baya lolote nililofanya so msinihisi vibaya bali ni hivo.
KICHWA CHAKO KINA MATOBO! KWANI NA HIYO NI SHIDA
 
TAFUTA HELA.
PUMBAVU ZAKO
ACHA KUAMINI KATIKA NDUGU, MARAFIKI, NA JAMAA.
PAMBANA MWENYEWE.
Mimi mwenyewe nimetengwa. Ila sijali.
Namtegemea mungu.
Ukiwa na dharau utaishi miaka mingi.
 
Sema kwanza chanzo cha kutengwa...lasivyo na sisi wana jamiiforums tuta kutenga kwa kushindwa kutwambia ukweli...
 
TAFUTA HELA.
PUMBAVU ZAKO
ACHA KUAMINI KATIKA NDUGU, MARAFIKI, NA JAMAA.
PAMBANA MWENYEWE.
Mimi mwenyewe nimetengwa. Ila sijali.
Namtegemea mungu.
Ukiwa na dharau utaishi miaka mingi.
Asante mkuu japo umetumia lugha ya ukali ila nimekuelewa, Ubarikiwe. Nafarijika sana napokutana na wenzangu wenye hali kama yangu kwa kweli.
 
Asante mkuu japo umetumia lugha ya ukali ila nimekuelewa, Ubarikiwe. Nafarijika sana napokutana na wenzangu wenye hali kama yangu kwa kweli.
Usijali. Najua unavyoumia. Ndo maana nimetumia hyo lugha.kukupa ujasiri.
Kaza moyo.
Hata Mimi uwa kuna wakati naumia Sana moyoni. Lakini nabaki na misimamo yangu.
Ujue Mimi sipendi kuburuzwa na mkubwa wala mtoto. Na Mara nyingi uwa nasimamia misimamo yangu hata kama nitapingana na ndugu zangu wote.
Na Mimi nimetengwa sababu ya MISIMAMO YANGU MIKALI.
 
Usijali. Najua unavyoumia. Ndo maana nimetumia hyo lugha.kukupa ujasiri.
Kaza moyo.
Hata Mimi uwa kuna wakati naumia Sana moyoni. Lakini nabaki na misimamo yangu.
Ujue Mimi sipendi kuburuzwa na mkubwa wala mtoto. Na Mara nyingi uwa nasimamia misimamo yangu hata kama nitapingana na ndugu zangu wote.
Na Mimi nimetengwa sababu ya MISIMAMO YANGU MIKALI.
Mkuu tuko pamoja mimi pia sitofautiani na wewe.
Good lucky
 
Back
Top Bottom