Mimi mwenyewe nilivunjika mkono wa kulia mwezi Julai,2023. Na nilianza kuandika kwa mkono wa kushoto ingawa ni ngumu sana. Kwa hiyo kuumia kuvunjika mkono wa kulia hakukuzuia kutumia simu kuandika.Umewezaje kuandika text humu kama mkono haufanyi kazi
Kukata tamaa ni dhambi Mungu yupo atakuponya. Mimi nilishawahi kupata shida kama yako nilipooza mguu wa kushoto sababu nikosewa kuchomwa sindano mchomaji alichoma kwa bahati mbaya kwenye mshipa wa fahamu. Nilizima kabisa mguu kila hatua ya mwanadamu nilianza kujifunza upya kuongea, kukaa, kusimama, kutembea nk. Nimepona sasa ni mzima natembea ila uponyaji wa mishipa ya fahamu si wa haraka zingatia vyakula asili, herbs, mazoezi na maombi.wakuu habari zenu.
Dah nilipewa majib juzi sema nilikua stressed kiasi hata skuingia online
nilikutana na docter bingwa wa mishipa ya fahamu na mifupa, kaniambia wamefanya vipimo vyote , shida ni mbili tu, mifupa iko ok so inahitaji mazoezi tu ya kutosha itakaa sawa ba kunyooka tena japo uvumilivu muhimu cas inahitaji muda kidogo.
Pili ni mishipa ya fahamu ya right hand ndio imepata hitilafu, wanfeweza suggest operation but operation sio solution sahihi, hiyo nerves kupona yenyewe taratibu so it depends, inaweza chukua,4 weeks, or miezi 3, 6 au hata mwaka it depends, so ameniandikia dawa za kutumia ili kupunguza pain ya mifupa ya mikono, kuondoa ganzi nk , so ameaisitiza kuwa mtulivu na kuzngatia nazoezi tu.
Wakuu naskitika sana, yani sjui tapona lini,,yani kweli my life iishie hivi kweli? bora ajari ingeniua nmeumia sana
Japo kuna doc mmama alisema kijana issue,za mishipa ni,comppicated kiasi hivo nijaribu pia watu wa dawa za qsili watu hua wanapona hata huko cas ameona watu wakiaaidiwa kutibiwa mifupa, mishipa ya fahamu nk.
Wakuu nisaidini please ntumie dawa gani za asili kusaidia, pengine unafahamu mtu ambae husaidia hivi vitu nielekeze mkuu, cas at least nijaribu tu maybe ztasaidia, nisaidieni, naumia sana
Pole sana kwa Changamoto hizo;Wakuu habari, kama mmeona sikuwa active hapa online, hata kwenye simu kwa wale mliokuwa na my contacts since March.
Nitaelezea one day ilikuaje but kwa wale mnaofatilia habari mtakuwa mliona this year March ilitokea ajali mbaya sana ya treni ya Tazara, mtu aliyegongwa it was me, na nilikuwa nimeshuka tu kwenye bajaji niongee na simu kumbe niko relini.
Anyway tuyaache hayo nitaelezea next time. Sasa kuna jambo nataka mnisaidie ushauri au tiba, najua humu kuna madr bingwa pia, mkono wangu wa kulia, nilipopona mwezi wa 6 nimerudi home nikagundua mkono mmoja haufunction, nikajua maybe cas naumwa utakaa, sawa after sometime, but haukukaa sawa na ukanikunja, siwezi hata kushika kitu cas hata vidole havifanyi kazi, hospital wamecheki nmefanyiwa MRI, wameona tatizo ni moja tu, mishipa ya fahamu kwenye mikono ndio inashida, niko hospital nmechoka wacha nilale tamalizia kesho, i need help.
Namalizia sasa
Wanecheck MRI report mifupa yote iko sawa na mazoezi tu takaa sawa, but wameona tatizo ni mishipa ya fahamu inayopita mkononi ndio inashida haipeleki taarifa kwenye ubongo that why vidole havifunction, na tatizo ni kwenye shingo mifupa ya shingo imeibana hiyo mishipa ya fahamu ya right hand ndo mana taarifa hazifiki kichwani na wanakutena leo jopp la madaktari wadiscuss hiyo report na wadecide kana ni operation au wafanye niu cas wanasema issue zinazohusisha nerves za fahamu ni delicate kidogo, huitaji umakini mkubwa.
Kwenu wana JF, najua madoctor mmo humu, tatizo hili linaweza tibika? Sababu nimechoka wakuu, nimekaa hospital since March seriously.
Pia kama kuna tiba hata huko mitaani za mifupa cas haina shida mifupa nahitaji tu mazoezi but jana naweza pata hata dawa nzuri na kuchua na mazoezi tafarijika sana, najua kuna watu nnje huko wanaweza kusolve hata hili la mishipa ya mkononi na mkono uanze kufunctiion, nisaidieni wakuu, ushauri wowote napokea, yani mda huu mi wakuogeshwa kweli? Dah help me.
Ngoja nione madr watasmua nini tawapa mrejesho, please maombi yenu ni muhimu, sijawahi dhani naweza fkia hali hii one day, its so sad😥
Kwenu wana JF, najua madoctor mmo humu, tatizo hili linaweza tibika? Sababu nimechoka wakuu, nimekaa hospital since March seriously.Wakuu habari, kama mmeona sikuwa active hapa online, hata kwenye simu kwa wale mliokuwa na my contacts since March.
Nitaelezea one day ilikuaje but kwa wale mnaofatilia habari mtakuwa mliona this year March ilitokea ajali mbaya sana ya treni ya Tazara, mtu aliyegongwa it was me, na nilikuwa nimeshuka tu kwenye bajaji niongee na simu kumbe niko relini.
Anyway tuyaache hayo nitaelezea next time. Sasa kuna jambo nataka mnisaidie ushauri au tiba, najua humu kuna madr bingwa pia, mkono wangu wa kulia, nilipopona mwezi wa 6 nimerudi home nikagundua mkono mmoja haufunction, nikajua maybe cas naumwa utakaa, sawa after sometime, but haukukaa sawa na ukanikunja, siwezi hata kushika kitu cas hata vidole havifanyi kazi, hospital wamecheki nmefanyiwa MRI, wameona tatizo ni moja tu, mishipa ya fahamu kwenye mikono ndio inashida, niko hospital nmechoka wacha nilale tamalizia kesho, i need help.
Namalizia sasa
Wanecheck MRI report mifupa yote iko sawa na mazoezi tu takaa sawa, but wameona tatizo ni mishipa ya fahamu inayopita mkononi ndio inashida haipeleki taarifa kwenye ubongo that why vidole havifunction, na tatizo ni kwenye shingo mifupa ya shingo imeibana hiyo mishipa ya fahamu ya right hand ndo mana taarifa hazifiki kichwani na wanakutena leo jopp la madaktari wadiscuss hiyo report na wadecide kana ni operation au wafanye niu cas wanasema issue zinazohusisha nerves za fahamu ni delicate kidogo, huitaji umakini mkubwa.
Kwenu wana JF, najua madoctor mmo humu, tatizo hili linaweza tibika? Sababu nimechoka wakuu, nimekaa hospital since March seriously.
Pia kama kuna tiba hata huko mitaani za mifupa cas haina shida mifupa nahitaji tu mazoezi but jana naweza pata hata dawa nzuri na kuchua na mazoezi tafarijika sana, najua kuna watu nnje huko wanaweza kusolve hata hili la mishipa ya mkononi na mkono uanze kufunctiion, nisaidieni wakuu, ushauri wowote napokea, yani mda huu mi wakuogeshwa kweli? Dah help me.
Ngoja nione madr watasmua nini tawapa mrejesho, please maombi yenu ni muhimu, sijawahi dhani naweza fkia hali hii one day, its so sad
mkuu unaweza niambia nizingatie hass which herbs? au vyakula gani vya asili nizingatie? niambie ili nitumie zaidi , zinaweza saidia piaKukata tamaa ni dhambi Mungu yupo atakuponya. Mimi nilishawahi kupata shida kama yako nilipooza mguu wa kushoto sababu nikosewa kuchomwa sindano mchomaji alichoma kwa bahati mbaya kwenye mshipa wa fahamu. Nilizima kabisa mguu kila hatua ya mwanadamu nilianza kujifunza upya kuongea, kukaa, kusimama, kutembea nk. Nimepona sasa ni mzima natembea ila uponyaji wa mishipa ya fahamu si wa haraka zingatia vyakula asili, herbs, mazoezi na maombi.
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Kama zimenyofoka ndani ya pingili za shingo. Huwa ni ngumu kidogo lakini Kama zimekatika nje ya pingili utafanyiwa neuro surgery zitaungwa. Kikubwa kaza moyo ondoa woga utaponaWakuu habari, kama mmeona sikuwa active hapa online, hata kwenye simu kwa wale mliokuwa na my contacts since March.
Nitaelezea one day ilikuaje but kwa wale mnaofatilia habari mtakuwa mliona this year March ilitokea ajali mbaya sana ya treni ya Tazara, mtu aliyegongwa it was me, na nilikuwa nimeshuka tu kwenye bajaji niongee na simu kumbe niko relini.
Anyway tuyaache hayo nitaelezea next time. Sasa kuna jambo nataka mnisaidie ushauri au tiba, najua humu kuna madr bingwa pia, mkono wangu wa kulia, nilipopona mwezi wa 6 nimerudi home nikagundua mkono mmoja haufunction, nikajua maybe cas naumwa utakaa, sawa after sometime, but haukukaa sawa na ukanikunja, siwezi hata kushika kitu cas hata vidole havifanyi kazi, hospital wamecheki nmefanyiwa MRI, wameona tatizo ni moja tu, mishipa ya fahamu kwenye mikono ndio inashida, niko hospital nmechoka wacha nilale tamalizia kesho, i need help.
Namalizia sasa
Wanecheck MRI report mifupa yote iko sawa na mazoezi tu takaa sawa, but wameona tatizo ni mishipa ya fahamu inayopita mkononi ndio inashida haipeleki taarifa kwenye ubongo that why vidole havifunction, na tatizo ni kwenye shingo mifupa ya shingo imeibana hiyo mishipa ya fahamu ya right hand ndo mana taarifa hazifiki kichwani na wanakutena leo jopp la madaktari wadiscuss hiyo report na wadecide kana ni operation au wafanye niu cas wanasema issue zinazohusisha nerves za fahamu ni delicate kidogo, huitaji umakini mkubwa.
Kwenu wana JF, najua madoctor mmo humu, tatizo hili linaweza tibika? Sababu nimechoka wakuu, nimekaa hospital since March seriously.
Pia kama kuna tiba hata huko mitaani za mifupa cas haina shida mifupa nahitaji tu mazoezi but jana naweza pata hata dawa nzuri na kuchua na mazoezi tafarijika sana, najua kuna watu nnje huko wanaweza kusolve hata hili la mishipa ya mkononi na mkono uanze kufunctiion, nisaidieni wakuu, ushauri wowote napokea, yani mda huu mi wakuogeshwa kweli? Dah help me.
Ngoja nione madr watasmua nini tawapa mrejesho, please maombi yenu ni muhimu, sijawahi dhani naweza fkia hali hii one day, its so sad