Curtis De Mi Amor
Senior Member
- Jan 9, 2022
- 134
- 498
Ni haki kweli? Kuna mdau mmoja kanipa bajaj yake kwa mkataba wa miaka 2. Yaani kila siku nimpe 20,000/=.
Nimefanya kazi kwa muda wa miezi 20, huyo mdau kaninyang'anya chombo kwa Madai anamadeni benki hivyo inabidi aiuze ili apunguze deni.
Nimejaribu sana kufuatilia kwa watu mbali mbali kuona ntasaidiwaje ila kote bila bila.
Naombeni ushauri wenu kwa wenye uelewa zaidi.
N.B HILI BANDIKO NI LA MDAU AMBALO NIMESHARE NANYI.
Nimefanya kazi kwa muda wa miezi 20, huyo mdau kaninyang'anya chombo kwa Madai anamadeni benki hivyo inabidi aiuze ili apunguze deni.
Nimejaribu sana kufuatilia kwa watu mbali mbali kuona ntasaidiwaje ila kote bila bila.
Naombeni ushauri wenu kwa wenye uelewa zaidi.
N.B HILI BANDIKO NI LA MDAU AMBALO NIMESHARE NANYI.