Msaada nateketea. Mba wananisumbua baada ya kunyoa.

Msaada nateketea. Mba wananisumbua baada ya kunyoa.

Sina uhakika kma zote au la mana yule dokta alinambia ivo tu
 
Kuhusu mafuta paka ya nazi jitahidi update yale ya kutengeza nyumbani kuhusu dawa ya kuondoa ngoja waje wataalam...ila ni wanawasha hao viumbe
Inaonyesha mleta mada hapaki mafuta kama mimi zamani. Wengi wa sisi wanaume hatuna bajeti ya mafuta ya kupaka. Mafuta ya nazi ndio kiboko ya tatizo. Si lazima yawe home-made hata yale ya shilingi 2,000 za kitanzania huwa yanatosha
 
Am going breafly!
Mba wananisumbua baada ya kunyoa ndevu, ni mba wa ngozi, hawajakithiri ila ni ule weupe weupe tu.

Naomba kufahamishwa dawa nzuri pamoja na dawa za kuoshea nywele au kupaka kichwani kama mafuta kila baada ya kuoga.

Asanteni
Tafuta mafuta ya mnyonyo tuma siku 2 hawarudi haoo
 
Napaka mafuta ya nazi kichwani na sina mba. Yaweza kua ni nini?
Jamaa atakuwa anamdanganya mwenzake ili anufaike na tatizo lake. Mafuta ya nazi hata yale ya Bei ya chini ni kiboko ya matatizo
 
Mkuu ntakuelekeza dawa kaitumie, usipopata matokeo mazuri rudi hapa nitakurudishia gharama uliyoitumia. Njoo Dm nitumie picha ya ilo tatizo
 
Shampoo gani? Kwani shampoo inasafisha kila kitu?
Kuna ile nywele zikianza kuwa ndefu tu, zinahifadhi uchafu uchafu kwa mbali plus mba ns vumbi vumbi hivi, hasa ukichana.
Yes, Shampoo husaidia kuondoa mba na kukiweka kichwa chako safi

Kwa mujibu wa tovuti ya Sciencedirect inasema "Shampoo was developed to replace soap for cleansing scalp and hair by removing unwanted sebum, dandruff, environmental dust, and residues of hair care products. Most of the dirt including sebum are water insoluble and cannot be effectively removed by water alone."
 
Nenda duka la dawa mwambie nahitaji yale mafuta ya MBA ambayo yapo kwenye kikopo fulani hivi Cha kijani jina lake limenitoka ni ya mgando fulani hivi na mafuta yenyewe ni ya kijani pia yanatoka South Africa, hayo mafuta ndio kiboko ya MBA yanatibu kabisa kabisa hakikisha unapakaa kila siku asubuhi na jioni au usiku kabla ya kulala na hakikisha unamaliza kikopo kizima yaan umalize dozi nzima sio unafika Nusu unaona umepona unaacha kupaka yanauza 7,000/- nadhani labda Bei iwe imepanda
Ukirudi home tuangalizie kopo kujua jina lake
 
  • Ogea sabuni ya dettol
  • Kichwani paka olive oil
  • Mwilini paka nivea
  • Dawa ya mba ipo ya rangi ya kijani, haizidi sh. 3000
Hapa umegusa penyewe kabisaa. Akichukua huu ushauri bila shaka atapata matokeo chanya.
 
Tumia Nivea au axe aftershave lotion/spray and thank me later
 
- Nenda pharmacy ulizia medicated soap utapewa(zipo nyingi mfano family & rungu hizi bei rahisi kidogo
  • ndio kama alipoitumia kwa mtu mwingine hakuisafisha mashine
  • ngoja wavuji waje mimi binafsi nikinyoa ndevu situmii mafuta yoyote
Kiongozi hivi unafikiri sabuni medicated iuzwe 500/ hizo Rungu ,family sio medicated!
 
Ul
Nilitumia hayo mafuta yanatoka SA nilipoona completely mpaka leo sijui mba ni Nini nilikua nasumbuliwa sana usiku sipati usingzii, jina lake nimesahau Ila akienda pharmacy akiwaambia tu ninataka mafuta ya MBA kutoka SA yapo kwenye kikopo Cha kijani anayapata maana ni hayo tu na wale wa pharmacy wanayafahamu kwa hio lazima wampe hayo hayo, Mimi nilienda pharmacy nilikua nimesahau Jina nikawaeleza wakayaleta kajina kake ni kafupi tu hivi km Nivea au Vatka Ila sio Vatka yana jina lake limenitoka ukipaka hayo mafuta unapona from the first day unaanza kuona mabadiriko
Ungetoa na mwelekeo wa Bei
 
Back
Top Bottom