Napaka mafuta ya nazi kichwani na sina mba. Yaweza kua ni nini?Nazi inaongeza mba kichwani
Napaka mafuta ya nazi kichwani na sina mba. Yaweza kua ni nini?Nazi inaongeza mba kichwani
Sorry. Hivi mafuta gani ya kuoshea nywele ndefu kwa sisi wanaume ili kuondoa uchafu unaoganda chini ya ngozi ya kichwa, ambao haufikiwi kutokana na urefu mkubwa wa nywele? Na sabuni zake je?nunua mafuta yanaitwa Radiant hayo ni kiboko ya mba, mengine yanatwa Sulphur 8, ila hayo sikushauri japo yanaondoa mba
Unaoshea nywele sabuni hizi za vipande?Napaka mafuta ya nazi kichwani na sina mba. Yaweza kua ni nini?
Sonaderm!sorryMkuu ni nasoderm au sonaderm ?
Kama unaishi sehemu ya joto huwa hakuna shida, zaidi ya kunukia kinazi nazi tuNapaka mafuta ya nazi kichwani na sina mba. Yaweza kua ni nini?
Morgan au sulphur pomade!Sorry. Hivi mafuta gani ya kuoshea nywele ndefu kwa sisi wanaume ili kuondoa uchafu unaoganda chini ya ngozi ya kichwa, ambao haufikiwi kutokana na urefu mkubwa wa nywele? Na sabuni zake je?
Hahahahahah. Mkuu najua nywele ndefu zinahitaji matunzo ili zisitunze uchafu chini ya nywele, hivi ukishakuwa na nywele ndefu ni mafuta gani mazuri, na sabuni gani nzuri kusafishia nywele ndefu ili kuondoa uchafu wote???Kama unaishi sehemu ya joto huwa hakuna shida, zaidi ya kunukia kinazi nazi tu
Oooh yanaondoa pia lile vumbi wakati wa kuzichana nywele?Morgan au sulphur pomade!
Nywele naosha ninapooga. Naogea jamaaUnaoshea nywele sabuni hizi za vipande?
ukiwa na nywele ndefu usitumie sabuni ya kipande, lazima itabaki,tumia shampoo au sabuni ya majiSorry. Hivi mafuta gani ya kuoshea nywele ndefu kwa sisi wanaume ili kuondoa uchafu unaoganda chini ya ngozi ya kichwa, ambao haufikiwi kutokana na urefu mkubwa wa nywele? Na sabuni zake je?
Anhaaa. Mimi nikishakuwa na nywele ndefu nikioshea sabuni bado nikichana au nikinyoa nakuta kuna uchafu kidogo sana na sijui kwa nini.Nywele naosha ninapooga. Naogea jamaa
Nina routes za Njombe na Korogwe na kotea natumia mafuta ya nazi. Siyo kwamba ngozi ya mtu inachangia labda?Kama unaishi sehemu ya joto huwa hakuna shida, zaidi ya kunukia kinazi nazi tu
Oooh kumbe kipande ndiyo inaleta uchafu na lile povu lake? Na ndiyo maana wengine wana nywele ndefu ila ngozi ya kichwa ni safi balaa. Hakuna mba wala vumbi vumbi. Kumbe wanatumia mafuta ya nywele?ukiwa na nywele ndefu usitumie sabuni ya kipande, lazima itabaki,tumia shampoo au sabuni ya maji
Yap morgan!kichupa kidogo hivi halafu inafanya zinakua nyeusi aiseh!vumbi wala mmba hakuna! Nilitumia nikiwa chuo safi KABISA hutojuta!Oooh yanaondoa pia lile vumbi wakati wa kuzichana nywele?
Unaweza kutumia sabuni ya maji /shampoo, pia unaweza kutumia mafuta ya maji mfano olive oil n.kHahahahahah. Mkuu najua nywele ndefu zinahitaji matunzo ili zisitunze uchafu chini ya nywele, hivi ukishakuwa na nywele ndefu ni mafuta gani mazuri, na sabuni gani nzuri kusafishia nywele ndefu ili kuondoa uchafu wote???
Nywele zako hazihifadhi uchafu? Umeshawahi kufuga nywele ndefu na ukawa unatumia mafuta ya nazi pasipo nywele zako kutunza uchafu?Nina routes za Njombe na Korogwe na kotea natumia mafuta ya nazi. Siyo kwamba ngozi ya mtu inachangia labda?
Kama unatembelea sehemu za baridi, nazi uganda na kutengeneza ukoko kwenye ngoziNina routes za Njombe na Korogwe na kotea natumia mafuta ya nazi. Siyo kwamba ngozi ya mtu inachangia labda?
Sawa kaka. Ndiyo code zenyewe hizi wengine tupate totoz pia(joking)Yap morgan!kichupa kidogo hivi halafu inafanya zinakua nyeusi aiseh!vumbi wala mmba hakuna! Nilitumia nikiwa chuo safi KABISA hutojuta!
Ohoooo thanks.!Unaweza kutumia sabuni ya maji /shampoo, pia unaweza kutumia mafuta ya maji mfano olive oil n.k
Aisee nitaulizia! Nipake kichwani ! Hauna hata kikopo chake tu?Nilitumia hayo mafuta yanatoka SA nilipoona completely mpaka leo sijui mba ni Nini nilikua nasumbuliwa sana usiku sipati usingzii, jina lake nimesahau Ila akienda pharmacy akiwaambia tu ninataka mafuta ya MBA kutoka SA yapo kwenye kikopo Cha kijani anayapata maana ni hayo tu na wale wa pharmacy wanayafahamu kwa hio lazima wampe hayo hayo, Mimi nilienda pharmacy nilikua nimesahau Jina nikawaeleza wakayaleta kajina kake ni kafupi tu hivi km Nivea au Vatka Ila sio Vatka yana jina lake limenitoka ukipaka hayo mafuta unapona from the first day unaanza kuona mabadiriko