Msaada nateketea. Mba wananisumbua baada ya kunyoa.

Msaada nateketea. Mba wananisumbua baada ya kunyoa.

Unatumia kuzitunza nywele zako katika hali ya usafi?
Niache kazi za msingi nianze kutunza nywele mzee? nimesema hayo ni mafuta ya nywele atumie yanasaidia kumaliza mba

Hayo mambo ya kutunza nywele ni kidada
 
Niache kazi za msingi nianze kutunza nywele mzee? nimesema hayo ni mafuta ya nywele atumie yanasaidia kumaliza mba

Hayo mambo ya kutunza nywele ni kidada
Sawa! Nilimaanisha kuwa, kuoshea nywele ndefu. Si unajua nywele ndefu ukiosha kwa sabuni na maji pekee zinakuwa na mba plus vumbi?
 
hahahaha hapana, kipindi hicho nilikua domo zege, so ni mwendo wa nyeto tu
sa hivi ni dongo, kipara kila sehem, mpaka kule kwa Mr Johnson
Hahahah mpaka now si ni domo zege thats why unajihusisha na punyeto?
 
Sawa! Nilimaanisha kuwa, kuoshea nywele ndefu. Si unajua nywele ndefu ukiosha kwa sabuni na maji pekee zinakuwa na mba plus vumbi?
Hapana mim na nywele nyingi ila siyo ndefu nanyoa mara kwa mara sasa mba zikawa zinanisumbua kwa miaka mingi hasa nikiogea maji ya chumvi nikatumia hayo mafuta Radiant kupaka tu
ndo zikaisha ni mafuta pekee yaliyo nisaidia miaka yote nimetafuta tiba lakin ilishindikana sahiv yamenisaidia
 
1684396725765.png
 
Am going breafly!
Mba wananisumbua baada ya kunyoa ndevu, ni mba wa ngozi, hawajakithiri ila ni ule weupe weupe tu.

Naomba kufahamishwa dawa nzuri pamoja na dawa za kuoshea nywele au kupaka kichwani kama mafuta kila baada ya kuoga.

Asanteni
Ni ndevu tu!!?
Mitaa mingine je!!?
 
Am going breafly!
Mba wananisumbua baada ya kunyoa ndevu, ni mba wa ngozi, hawajakithiri ila ni ule weupe weupe tu.

Naomba kufahamishwa dawa nzuri pamoja na dawa za kuoshea nywele au kupaka kichwani kama mafuta kila baada ya kuoga.

Asanteni
Katafte hiyo dawa ya kumeza itakusaidia
 

Attachments

  • Screenshot_20230518-200538_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20230518-200538_WhatsApp.jpg
    48.3 KB · Views: 16
Naomba kufahamishwa dawa nzuri pamoja na dawa za kuoshea nywele au kupaka kichwani kama mafuta kila baada ya kuoga.
Mkuu, kuna dawa ambayo inaweza kukusaidia kuondokana na hilo tatizo. Ni dawa ya asili ya Maji ya kupaka.

Bei ya hiyo dawa ni kiasi cha shilingi 40,000 tu. kwa ujazo wa 50ml/Bottle. nina uhakika itaondoa tatizo lako. Binafsi ilinisaidia 100%.

Muuzaji wa hio dawa anapatikana Mafinga/Iringa, but anaweza kuituma popote ulipo, then ukaifuata, ukalipa wakati unaichukua, endapo ukihitaji nitafute nikupe mawasiliano yake.

Asante.
 
Am going breafly!
Mba wananisumbua baada ya kunyoa ndevu, ni mba wa ngozi, hawajakithiri ila ni ule weupe weupe tu.

Naomba kufahamishwa dawa nzuri pamoja na dawa za kuoshea nywele au kupaka kichwani kama mafuta kila baada ya kuoga.

Asanteni
Paka brake fluid au mafuta ya kusafishia bunduki
 
nyinyi ndiyo munasababisha wenzenu wapate cancer> Oil na mafuta ya cherehani siyo kwa ajili ya matumizi ya binadamu (hata kwenye ngozi).

Shampoo za antidandruff ndiyo zinatumika kuondoa mba kichwani na hata kwenye ndevu
Nikusahihishe antidandruff zishapigwa stop kwa Tz wamesema zinasabanisha cancer
 
Mkuu, kuna dawa ambayo inaweza kukusaidia kuondokana na hilo tatizo. Ni dawa ya asili ya Maji ya kupaka.

Bei ya hiyo dawa ni kiasi cha shilingi 40,000 tu. kwa ujazo wa 50ml/Bottle. nina uhakika itaondoa tatizo lako. Binafsi ilinisaidia 100%.

Muuzaji wa hio dawa anapatikana Mafinga/Iringa, but anaweza kuituma popote ulipo, then ukaifuata, ukalipa wakati unaichukua, endapo ukihitaji nitafute nikupe mawasiliano yake.

Asante.
Ingekua vizuri ungeweka namba yake hapa watu wote wafaidike mna hili la M'ba ni janga kwa Taifa
 
Back
Top Bottom