Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,610
- 59,579
Tafuta mafuta haya nenda pharmacy waelekeze km nilivyokuelekeza au kesho nikipita pharmacy nitakupigia picha hayo mafuta nikuwekee humu uyaone👇Ahsante. Je, ikitokea umenyoa ndevu, ili kuepuka mba kidevuni na juu ya midomo, ni mafuta gani unakuwa unapaka?
Nenda duka la dawa mwambie nahitaji yale mafuta ya MBA ambayo yapo kwenye kikopo fulani hivi Cha kijani jina lake limenitoka ni ya mgando fulani hivi na mafuta yenyewe ni ya kijani pia yanatoka South Africa, hayo mafuta ndio kiboko ya MBA yanatibu kabisa kabisa hakikisha unapakaa kila siku asubuhi na jioni au usiku kabla ya kulala na hakikisha unamaliza kikopo kizima yaan umalize dozi nzima sio unafika Nusu unaona umepona unaacha kupaka yanauza 7,000/- nadhani labda Bei iwe imepanda