Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,851
- 37,565
Hii ndo best solnAu ukiona shida twanga vitunguu swaumu na Kisha jipake kichwani Kila unapenda kulala Kwa siku 5 utasahau kabisa
Vitunguu swaumui au fluconazol shampoo na vidonge vyake basi!
Hii ndo best solnAu ukiona shida twanga vitunguu swaumu na Kisha jipake kichwani Kila unapenda kulala Kwa siku 5 utasahau kabisa
PichaAm going breafly!
Mba wananisumbua baada ya kunyoa ndevu, ni mba wa ngozi, hawajakithiri ila ni ule weupe weupe tu.
Naomba kufahamishwa dawa nzuri pamoja na dawa za kuoshea nywele au kupaka kichwani kama mafuta kila baada ya kuoga.
Asanteni
Jitahidi ununue mashine yako 15000Ahsante. Je, ikitokea umenyoa ndevu, ili kuepuka mba kidevuni na juu ya midomo, ni mafuta gani unakuwa unapaka?
Kwahiyo nikisema ni mimi ndipo utataja dawa?Ukisema ni wew mwenyew Kwan Kuna shda gan mzee?
Ogea maji ya bahari kutwa mara tatu.Am going breafly!
Mba wananisumbua baada ya kunyoa ndevu, ni mba wa ngozi, hawajakithiri ila ni ule weupe weupe tu.
Naomba kufahamishwa dawa nzuri pamoja na dawa za kuoshea nywele au kupaka kichwani kama mafuta kila baada ya kuoga.
Asanteni
I seeKama unatembelea sehemu za baridi, nazi uganda na kutengeneza ukoko kwenye ngozi
Hapana sijawahi kufuga nywele zikawa ndefu kiasi inipe changamoto kufikisha sabuni au mikono chini kwenye nywele.Nywele zako hazihifadhi uchafu? Umeshawahi kufuga nywele ndefu na ukawa unatumia mafuta ya nazi pasipo nywele zako kutunza uchafu?
nyinyi ndiyo munasababisha wenzenu wapate cancer> Oil na mafuta ya cherehani siyo kwa ajili ya matumizi ya binadamu (hata kwenye ngozi).Paka oil au mafuta ya cherehani halafu baada ya siku tatu leta mrejesho. Huu si itani ni dawa.
Shampoo gani? Kwani shampoo inasafisha kila kitu?Tumia dettol, au medicated soap yoyote iliyoenda shule ukiachana na hizi tatu buku, kisha kuwa na desturi ya kuosha kichwa chako na shampoo
Ila kama itakuwa mba sugu hawatoki kwa hivyo viwili then nenda sasa upate dawa pharmacy
Ahsante sana mama! Majina yake hizo shampoo je? Na vipi natakiwa nipake kama mafuta ya ngozi, yaani maisha yangu yote?nyinyi ndiyo munasababisha wenzenu wapate cancer> Oil na mafuta ya cherehani siyo kwa ajili ya matumizi ya binadamu (hata kwenye ngozi).
Shampoo za antidandruff ndiyo zinatumika kuondoa mba kichwani na hata kwenye ndevu
ulizia kwenye supermakets kubwa utaelekezwa. Au angalia itakuwa imeandikwa 'antidandruff' (yaani ya kuzuia mba)Ahsante sana mama! Majina yake hizo shampoo je? Na vipi natakiwa nipake kama mafuta ya ngozi, yaani maisha yangu yote?
Hizo shampoo zinasaidia kusafisha uchafu kwa mwenye nywele ndefu.
🤣🤣🤣🤣Mwanamke ana ndevu?jinsia yako tafadhali....
Nenda rombo Kilimanjaro ukajionee....🤣🤣🤣🤣Mwanamke ana ndevu?
aisee, sasa nimepata majibuNazi inaongeza mba kichwani
Nawe ulikuwa unatumia hayo mafuta drone?aisee, sasa nimepata majibu
Unatumia kuzitunza nywele zako katika hali ya usafi?Tumia mafuta ya nywele yanaitwa Radiant paka kwenye kichwa na kwenye ndevu
Aisee mimi nina asili ya nywele nyingi na katika watu waliojaribu mafuta mengi na mba hazikuisha hadi nikaachana na kutafuta tiba ni mimi ila kwa sasa nmeona mabadiliko Sina mba
mwanzo nilitaka niachane nayo maana sikuona mabadiliko ya haraka ila kwa sasa hivi nimetumia miez mi 3 mfululizo mba zimepotea zote
ndo mafuta pekee yaliyowahi kunisaidia kwenye maisha yangu
yeah kipindi niko F2/F3, yakaniletea shida ya mba kinomaNawe ulikuwa unatumia hayo mafuta drone?