teetotaller
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 317
- 214
kwan kule unaenda kufanya shughuli gan iliyokushinda tz?????
Hebu upitishie huo mchongo kwanza kwangu,maana huku nilipo Twa twa twa Kilosa maisha ni magumu,ila Marekani na Ulaya sitaki hadi miaka 10 ijayoKama kweli upo serious njoo PM nikupe mchongo, nakuhakikishia ukikazana ndani ya mwaka basi utakuwa na visa yako mkononi. ..uvumilivu unatakiwa
Kweli kabisa aliethubutu na kufeli hafanani na muoga. Kwangu mimi aliyejaribu na kushindwa huyo huwa namheshimu sana kwani alijitahidi kuchukua hatua na hawezi kuwa kama alivyokua atakua na mtazamo tofauti kuhusu maishaUnajua ndg yangu cc watz UOGA ni JANGA kwetu....huyu ndg anaetishwa Akifanya ubishi akienda nakufanikiwa akirudi hapa wote watamheshimu Tatizoletu niwatu wakulidhika mtu akiweza kumiliki Store inayoitwa nyumba na VITZ amemaliza Hii nitofauti kwa jamaa wa nch nyingine kwenye kutafuta hakuna kuogopa ila nivzr kujua changamoto utakazo zikuta itakusaidia kuishi nazo mimi kiukweli mtu akisema Dar, imemshinda anasonga mbele huwa namheshimu sana kuliko anaeliatu....
Mimi nimekaa majimbo kadhaa ya huku America kama vile DC,Virginia,Maryland na NewYork city,swali la kwanza ili nikusaidie una miaka mingapi na una elimu level gani nijue pa kuanza kutoa ushauri binafsi.
Jamani nataka kwenda Marekani kutafuta Maisha nauli ninayo kwa anaejua Prosees za kufika kule na michongo ilivyo amtired Bongo maana sina ndugu yeyote anaekaa ulaya naombeni msaada jamani
Dume zima na midevu yako unaenda kuwa house boy wa Preta hapo tu anakumezea mate!!kumiliki mfua vyupi wa ndani ni issue ngumu mno Usa/UK, ila nenda tu,ni bora ukafue boxer za mahawara wa dada P kuliko kupinda mgongo. Nanjilinji,mi siendi mahali,kwanz hapa pamoja na elimu yangu ndogo naitwa Manager,huko ntajitia aibu bure,ntakuja tu kikazi na au kuwatembelea nyie siku kibubu changu kikijaa,ila kuja kuogesha viji kokoo hapanaa!!