falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,227
- 9,356
kama umepata chance tambaa wala usiskize maneno ya watu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] daaahKwa mara ya kwanza umepost kitu cha maana kuliko wewe mwenyewe.............(joke)..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Am sure tangu uzi uanzishwe Singa Singa atakua ashaondoka
Dolla 10 kwa saa mbona nyingi sana,huku bongo hao wazoa taka wanalipwa laki na nusu,Dolla 10 ukizidisha kwa 2200 unapata 22000 kwa saa,Bora maisha ya mbele yanaunafuu sanaNi kweli mkuu...watu wengi wanafuata mkumbo...America bila kazi inayoeleweka na papers ni Hell....kuna watanzania wengi sana wanaishi barabarani hawana papers...tatizo la nchi zilizoendelea ni kama unavyosema kila kitu kiko structured hamna loopholes...kwa hiyo no matter how much you earn inaishia kwenye kodi na bills...na kama hauna skills utakoma....msimu huu wa winta kazi ni kuzoa barafu...dola 10 kwa saa...ni kazi ngumu sana unakuwa hoi kabisa
Jamani nataka kwenda Marekani kutafuta Maisha nauli ninayo kwa anaejua Prosees za kufika kule na michongo ilivyo amtired Bongo maana sina ndugu yeyote anaekaa ulaya naombeni msaada jamani
watanzania wanatabia ya kukatishana tamaa sana,mwacheni akajaribu maisha popotelevel ya elimu haimati sana tena kama umesomea Afrika.Ukimaliza tu High school inatosha kula bata la muhimu unaweza ukaongezea Training za muda mfupi na maisha yakasonga.
Elimu ya Afrika hawaitambui sana hadi usome tena kama upendi kusoma kuna training za muda mfupi na maisha yanasonga .
ukiwa nurse au kama umesomea IT ni deal zaidi.
lakin sijui bachelor of political science,Business etc labda usome tena bila hivyo utahesabika kama High school.
Uku pia ata kama ujasoma ukiwa na driving licence maisha yanaenda.
Upo sahihi joshua yaaan mtu unaemfikiria na mimi huwa na fikiria Mc pilipili hatishi sn lakin anapiga mkwanja ni kiwa mjanja tu na kuwa mbunifu mzeemaisha bongo ukiwa mbunifu kidogo unatoboa. Mtu kama Mc Pilipili pamoja na kwamba hana cha kutisha sana lakini kiujanja ujanja anatoboa hapa mjini, na anasukuma ndinga ya zaidi ya 2500cc. Huko marekani utaishia kazi za ajabu kama si jela na kuolewa.
Kwani huko anapotaka kwenda mnahisi hatofanikiwa kimaisha?kwa sababu MC pililpili kafanikiwa bongo kila mtu amwige yeyeUpo sahihi joshua yaaan mtu unaemfikiria na mimi huwa na fikiria Mc pilipili hatishi sn lakin anapiga mkwanja ni kiwa mjanja tu na kuwa mbunifu mzee
Twa twa twa.............Hebu upitishie huo mchongo kwanza kwangu,maana huku nilipo Twa twa twa Kilosa maisha ni magumu,ila Marekani na Ulaya sitaki hadi miaka 10 ijayo