lyinga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 2,494
- 1,057
Jamani nataka kwenda Marekani kutafuta Maisha nauli ninayo kwa anaejua Prosees za kufika kule na michongo ilivyo amtired Bongo maana sina ndugu yeyote anaekaa ulaya naombeni msaada jamani
Dogo nikuambie kitu hakuna maisha mazuri kama hapa nyumbani fanya kazi kwa bidii tafuta pesa popote ilipo kihalali bila kukata tamaa manake ukiwa na imani na juhudi utayafikia malengo, utanunua kiwanja utajenga nyumba nzuri , garden yako saaafi , pembeni una kavitz, utakwenda popote bila kubugudhiwa hela yako tu ukitaka kuishi kama ulaya unaweza mdau kujituma tu na malengo na usikate tamaa.