Mtimti
JF-Expert Member
- Feb 23, 2008
- 942
- 649
Jamani nataka kwenda Marekani kutafuta Maisha nauli ninayo kwa anaejua Prosees za kufika kule na michongo ilivyo amtired Bongo maana sina ndugu yeyote anaekaa ulaya naombeni msaada jamani
Kama kweli upo serious njoo PM nikupe mchongo, nakuhakikishia ukikazana ndani ya mwaka basi utakuwa na visa yako mkononi. ..uvumilivu unatakiwa